Utani dhidi ya Samsung Galaxy Note 7

Utani dhidi ya Samsung Galaxy Note 7

Apple wamepigana vita vizuri na wameshinda ukiangalia pindi galaxy note 7 ilivyokuwa inalipuka sometimes zilikuwa mbinu za competitor ili waendelee kuuza Simu zao

hawa wamarekani ni wahuni tu
 
Apple wamepigana vita vizuri na wameshinda ukiangalia pindi galaxy note 7 ilivyokuwa inalipuka sometimes zilikuwa mbinu za competitor ili waendelee kuuza Simu zao

hawa wamarekani ni wahuni tu
Always na appreciate vitu vyao (Apple) but hata hivyo Apple waliwashinda kesi dhidi ya kuipa tecknoloji yao, but all in all kuna ule usemi unasema "Adui yako muombe njaa, hata nyoosha mikono juu hata kama ni Shujaa"
 
1480222244203.jpg
 
  • Thanks
Reactions: GTA
Back
Top Bottom