davibby
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 317
- 244
ningependa kufaham vizuri ni band ipi simu uwe nayo ndo iwe ina support TIGO au VODACOM 4G. maana nina simu ina support 4g lakin hapa tanzania haishik kabisa yaani. na kingine ningependa kutambua pia kama simu za XIOMI REDMI note zitakuwa zinauwezo wakusupport 4g ya bongo maana hizi ni simu za kampuni zawachina.