Habari Wana JF,
Nahitaji mtu wa kunitengenezea blog nzuri, mwenye kutaka hii kazi please anipm. Naomba watakaonipm wawe detailed vilevile wanipe link nione blog ambazo wamezitengeneza. Na please...
Zifuatazo ni code za kujiunga na vifurushi vyetu vya VODACOM kwa haraka.
Hii ni njia ndefu.Mpaka kukupata kwa Cheka bundles.
*149*01#.
•Ili ujiunge na kifurushi cha Cheka cha shilingi miatano...
Mimi nimtumiaji wa ving'amuzi vya easy tv kwa muda mrefu na ni vingamuzi vizuri saaana na channel za local zipo[Tz]zote.
Kinacho niudhi kwa sasa ni hawa wamiliki hawatafuti mawakala wa kuuza...
Hey beloved,
Naulizia namna ya kuapata app yenye liturigia ya nyimbo za kikisto haswa kwa wale wanosali KKKT. Nimekwenda play store lakini sipati hiyo kabisa
Many thanks in advance
Download app ya Mobdro kuweza kuangalia Channel mbalimbali kwenye simu yako, ziwe za michezo kama ESPN,sky sports, euro sports...za miziki kama kiss Tv UK, 4 music..za habari, documentaries na...
Amani iwe pamoja nanyi,
Ningependa kufahamu wale wataalam wa kuflash cm kwa kutumia computer hua wanafanyaje ama wanatumia software gani kufanikisha shughuli ile?
Tafadhali kwa anaefahamu...
Samahani wakuu kwa kuwasumbua ila nina shida kidogo naombeni msaada wenu au mawazo yenu kwa mtu yeyote ambaye ana ujuzi juu ya jinsi ya kununua application za android kutoka kwenye google play...
Jamani kama nilivyoeleza hapo juu, simu yangu ilidondoka chini baada ya kuiwasha ikawaka lakini haifanyi kazi; ila nikipigiwa inaita tatizo kupokea na laini inasoma vizuri, nifanyeje na simu yangu...
Toyota kutambulisha gari lilotengenezwa kwa mbao na teknolojia ya kiutamaduni ya nchini Japan isiyohusisha utumiaji wa misumari wala nati katika kuzishikilia mbao hizo.
Sersuna – Gari la mbao...
Siku zote hua naamin kwa kiasi flan zamani kabla ya utawala africa na mabara mengine tulikuwa hatujapishana sana kwenye masuala ya teknolojia ila tu tulianza kupishana pale tu ambapo ukoloni...
Wakuu salam
Naomba mwenye ujuzi na utalaam was kufunga/kuzuia sms husasani za Huduma kwa wateja kujirudiarudia hata zaidi ya mara 100 kwenye simu yangu ya smartphone anisaidie. Maana nimeshaenda...
habari za asubuhi ndugu zangu
na shida na simu yangu toka jana nikiweka line ya tigo inaandika emergency calls only, nikiweka line nyingine inafanya kazi, na pia nkiweka line yangu kwenye simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.