ni rahisi sana kama ni blog hata wewe mwenyewe unaweza kutengeneza ndani ya dakika tatu na kuanza kuifanyia maboresho kidogo kidogo..kutengeneza blog sio kazi, kazi nzito ni contents na kutafuta traffic ya maana kama unataka kufanya kwa ajili ya businessHabari Wana JF,
Nahitaji mtu wa kunitengenezea blog nzuri, mwenye kutaka hii kazi please anipm. Naomba watakaonipm wawe detailed vilevile wanipe link nione blog ambazo wamezitengeneza. Na please bei iwekwe.
Ahsante,
Tupe determined zakutengeneza blogni rahisi sana kama ni blog hata wewe mwenyewe unaweza kutengeneza ndani ya dakika tatu na kuanza kuifanyia maboresho kidogo kidogo..kutengeneza blog sio kazi, kazi nzito ni contents na kutafuta traffic ya maana kama unataka kufanya kwa ajili ya business
Ndo maana mkuu namtafuta mtu afanye hiyo kazi (atakayenishauri yoooote hayo ya contents na traffic issues na mengine meengi) then miye nibakie kwenye my core business. Naamin sana kwenye kuwatumia wataalam mbalimbali hii hunisaidia kuokoa muda!!ni rahisi sana kama ni blog hata wewe mwenyewe unaweza kutengeneza ndani ya dakika tatu na kuanza kuifanyia maboresho kidogo kidogo..kutengeneza blog sio kazi, kazi nzito ni contents na kutafuta traffic ya maana kama unataka kufanya kwa ajili ya business
ok but kama unataka kufanya blogging na hauna idea ya nini haswa unataka kukifanya katika blogging hilo ni tatizo kubwa.. blog nyingi sana zimeanzishwa na kufa kwa kutokua na malengo.. Ili upate mafanikio kwenye blogging ni bora kufanya kitu ambacho unakijua(fani yako) i.e engineering, doctor, politics hapo utafanikiwa kama unataka kufanya clear/clean blogging faida utaipata baada ya miaka kadhaa blog lako ikianza kuwa index na google na search engine nyingine.. kama unataka kufanya dirty blogging kama za vijana wa facebook hiyo inabidi uwe na roho ngumu na faida unaweza kuipata mapema kwa kua utakua unapata traffic from social network(kwa kuweka mapicha machafu na ngono mtandaoni.. kama mtu unajiheshimu na una watoto, familia, na msoni ni aibu na upuuzi)... ***USHAURI***Fanya blogging kama hobi kwa kuandika vitu vyako vizuri unavyovifahamu kwa kina na havipo google baada ya miaka kadhaa (miaka mitatu) utapata faida za matangazo na utakua unapata faida kubwa na kutumia nguvu ndogo kwa kua visitor watakua wanaingia automatically(organic traffic) kwenye blog yako bila ku-share sana..Kifupi tafuta mdau atakaye kuelekeza jinsi ya kuandiaka contents nzuri/quality ambazo zitakua rahisi kuwa index, template nzuri etc .. Huu ni ushauri tuuNdo maana mkuu namtafuta mtu afanye hiyo kazi (atakayenishauri yoooote hayo ya contents na traffic issues na mengine meengi) then miye nibakie kwenye my core business. Naamin sana kwenye kuwatumia wataalam mbalimbali hii hunisaidia kuokoa muda!!
mbna ujashauri jinsi ya kutngeneza ndguok but kama unataka kufanya blogging na hauna idea ya nini haswa unataka kukifanya katika blogging hilo ni tatizo kubwa.. blog nyingi sana zimeanzishwa na kufa kwa kutokua na malengo.. Ili upate mafanikio kwenye blogging ni bora kufanya kitu ambacho unakijua(fani yako) i.e engineering, doctor, politics hapo utafanikiwa kama unataka kufanya clear/clean blogging faida utaipata baada ya miaka kadhaa blog lako ikianza kuwa index na google na search engine nyingine.. kama unataka kufanya dirty blogging kama za vijana wa facebook hiyo inabidi uwe na roho ngumu na faida unaweza kuipata mapema kwa kua utakua unapata traffic from social network(kwa kuweka mapicha machafu na ngono mtandaoni.. kama mtu unajiheshimu na una watoto, familia, na msoni ni aibu na upuuzi)... ***USHAURI***Fanya blogging kama hobi kwa kuandika vitu vyako vizuri unavyovifahamu kwa kina na havipo google baada ya miaka kadhaa (miaka mitatu) utapata faida za matangazo na utakua unapata faida kubwa na kutumia nguvu ndogo kwa kua visitor watakua wanaingia automatically(organic traffic) kwenye blog yako bila ku-share sana..Kifupi tafuta mdau atakaye kuelekeza jinsi ya kuandiaka contents nzuri/quality ambazo zitakua rahisi kuwa index, template nzuri etc .. Huu ni ushauri tuu
Thanks sana kwa ushauri, Mkuu lengo la kutaka kuwa na blog ni kwa ajili ya kutangaza biashara yangu that's it! sihitaji blog kwa ajili ya kupata fedha kutokana na matangazook but kama unataka kufanya blogging na hauna idea ya nini haswa unataka kukifanya katika blogging hilo ni tatizo kubwa.. blog nyingi sana zimeanzishwa na kufa kwa kutokua na malengo.. Ili upate mafanikio kwenye blogging ni bora kufanya kitu ambacho unakijua(fani yako) i.e engineering, doctor, politics hapo utafanikiwa kama unataka kufanya clear/clean blogging faida utaipata baada ya miaka kadhaa blog lako ikianza kuwa index na google na search engine nyingine.. kama unataka kufanya dirty blogging kama za vijana wa facebook hiyo inabidi uwe na roho ngumu na faida unaweza kuipata mapema kwa kua utakua unapata traffic from social network(kwa kuweka mapicha machafu na ngono mtandaoni.. kama mtu unajiheshimu na una watoto, familia, na msoni ni aibu na upuuzi)... ***USHAURI***Fanya blogging kama hobi kwa kuandika vitu vyako vizuri unavyovifahamu kwa kina na havipo google baada ya miaka kadhaa (miaka mitatu) utapata faida za matangazo na utakua unapata faida kubwa na kutumia nguvu ndogo kwa kua visitor watakua wanaingia automatically(organic traffic) kwenye blog yako bila ku-share sana..Kifupi tafuta mdau atakaye kuelekeza jinsi ya kuandiaka contents nzuri/quality ambazo zitakua rahisi kuwa index, template nzuri etc .. Huu ni ushauri tuu
ok kama lengo ni biashara zako mwenyewe no problem ni rahisi kama kumeza maji.. NAKUSHAURI..Ili kuweka heshima/ubora ya blog yako tengeneza blog yenye domain(.com, .us, co.tz) hii ni nzuri kuliko ya .blogspot.com hizi za .com, us itakugharimu sh 25,000 kulipia domain kila mwaka au pungufu i.e (10,000-20,000) na hizi .blogspot.com ni bure... mtengenezaji wa blog mnaweza kukubaliana anaweza kukutoza (5,000-20,000).. wewe utajifunza jinsi ya ku-post biashara/habari mpya ambapo ni kazi ndogo tuu hata mtoto wa primary anaweza akielekezwa within one minute.Thanks sana kwa ushauri, Mkuu lengo la kutaka kuwa na blog ni kwa ajili ya kutangaza biashara yangu that's it! sihitaji blog kwa ajili ya kupata fedha kutokana na matangazo
mkuu nimetaka kumpa mwanga kwanza kwa kuwa ni mgeni..Siunajua kuna vijana wajanja wajanja wasije wakamuingiza uchochoroni.. Nadhani nimezoea sana kutengeneza hivi vi-blog nikajua kwake inaweza kuwa rahisi kwa kua hata mwanangu wa standard 5 anatengeneza blog(nzuri za kisasa ) withing five minutes. Ok chamsingi ni kuwa na 1.Gmail account 2. baada ya hapo open blogger.com 3. hapo assign jina la blog na url yake ie kuendana na biashara/lengo la blog yako 4. Then create blog. Hapo kazi imeisha blog imekamilika ni ndani ya dakika 2 tuu.... Kinachofuata ni kuboresha tuu i.e kutafuta template kali za kisasa(seo template/responsive template) i.e template zipo nyingi na za kisasa free mtandaoni utachofanya wewe ni kuedit na kuziboresha i.e kubadili color, background, ku-ondoa footer credits na kuweka zako, kuweka vitu kama label, kutengeneza logo yake, ku-iweka sawa kwenye mambo ya search engine optimization(seo), kuweka settings za domain ambayo pia ni rahisi kama akipenda kuweka/kununua(.com.us,.info) na maboresho mengine madogo madogo ili kumvutia msomaji e.t.c That why nikasema ni jambo jepesi.. NI HAYO TUU MDOGO WANGU.mbna ujashauri jinsi ya kutngeneza ndgu