Nawezaje kupiga videocall kwenye Tecno c9?

Nawezaje kupiga videocall kwenye Tecno c9?

Mulangila Mukuru

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2010
Posts
1,945
Reaction score
729
Wadau nimenunua simu tajwa hapo Juu lkn kupiga video call nimeshindwa
Naomba maelekezo kwa anayefahamu.
 
Sorry wakuu nilimaanisha kupiga video call hilo neno "Kibuga "ni typing error nimeshindwa kuedit heading
 
Sorry wakuu nilimaanisha kupiga video call hilo neno "Kibuga "ni typing error nimeshindwa kuedit heading

Achana na hizo video call za simu ni mizunguo sana, zinakata kata na zinasumbua ukitaka kumpigia mtu mwingine video call Njia nzuri sana ningekushauri wewe na huyo mtu mwingine mge download kati ya WhatsApp, Skype, au Duo ningekushauri Duo lakini whatsapp ndio inapendwA na wengi. Hizi app ni nzuri sana maana kuna Njia zina punguza data inayotumwa so kutegemea na mtandao wako wewe na mwenzio mtaongea fresh bila kustack.

Lakini kama unapendelea kwa simu kawaida subiri wenye simu tajwa waje kukusaidia.
 
Wadau nimenunua simu tajwa hapo Juu lkn kupiga video call nimeshindwa
Naomba maelekezo kwa anayefahamu.
1480689358736.jpg

Hapo kwenye hiyo alama ndipo inapopatikana video call kwa simu za tecno, ila huyo unaempigia ni lazima awe amewasha data ndio simu itaenda, kama hajawasha itagoma.
 
Back
Top Bottom