Msaada wa simu imegoma kufanya kazi

Msaada wa simu imegoma kufanya kazi

alex obwato

Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
9
Reaction score
1
Jamani kama nilivyoeleza hapo juu, simu yangu ilidondoka chini baada ya kuiwasha ikawaka lakini haifanyi kazi; ila nikipigiwa inaita tatizo kupokea na laini inasoma vizuri, nifanyeje na simu yangu ni smartphone?
 
Simu yako itakua imeharibika touch/ sense, kwahiyo dawa hapo ni kwenda kwa fundi akubadilishie touch.
 
DhAa mm yang Nikiitoa kweny chaji inazima
 
Tatizo litakuwa kwenye microphone kwa maana nyaya zitakuwa zimeachia (kwa uzoefu wangu wa kudondosha simu tofauti mara kibao). Peleka tu kwa fundi anachomelea unampa buku tu kama wamfahamu. Mi simu zangu zisizo smart phone nilikuwa napambana nazo kwa kisu na moto wa jiko la gesi nachomelea...sometimes nilikuwa nashikiza nyaya na big G kwa muda (ila usifanye hivyo kwa smart phone).
 
Back
Top Bottom