Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,694
- 2,588
Kampuni ya Samsung imetangaza kwamba itazifanya simu zote za Note 7 ziache kufanya kazi wakati hazijachomekwa kwenye charger.
Watafanya hivyo kwa kutoa software update amabayo itaji download yenyewe.
Hii ni kutokana na simu hizo kuwa na tatizo la kuwaka moto kutokana na matatizo ya battery na hivyo sio salama.
Watafanya hivyo kwa kutoa software update amabayo itaji download yenyewe.
Hii ni kutokana na simu hizo kuwa na tatizo la kuwaka moto kutokana na matatizo ya battery na hivyo sio salama.