Kwanza wadau naomba mnijuze tofauti ya ya hizi Samsung za S series, A series pamoja na J series unakuta labda kuna J5, S5, na A5 nini tofauti yao kubwa na Kati ya IPhone 5 na Samsung 5 ipi no bora na inazidi nyingine. Nawasilisha
s5 ina marshmallow na itapata nougatSamsung S na Note Series ni High end au Flagship
Samsung A series ni Mid range
Samsung J series ni Low/Affordable..
Hii ni kwenye maswala ya marketing segmentation, S series kwa wenye kipato cha juu, A kipato cha kati, J kipato cha chini.
Na kwenye S5 vs Iphone 5 yote ina depend na wewe but Samsung s5 ni latest zaidi ya hiyo iPhone , better screen, but kwa sasa maana iPhone 5 ina ios 10 bora kuchukua iPhone 5 maana ina better support bado
Note 4 na S5 2 year Software support imeisha. Nougat itapatikana for S6, S7, na Note 5.s5 ina marshmallow na itapata nougat
j5 prime si nzuri, kwa hio bei unapata j7 prime na change inabakiKuna J5 prime imetoka hivi karibuni sina uhakika kama ni low range kwani specs zake ni nzuri sana bei 590,000/=
zipo leaks nimeziona still inaweza pata, na hata isipopata bado 3rd party support zipo hapa nimeshaletewa notification ya cm 14.1 kwenye s5, official update ya cyanogen ya android 7.1Note 4 na S5 2 year Software support imeisha. Nougat itapatikana for S6, S7, na Note 5.
zipo leaks nimeziona still inaweza pata, na hata isipopata bado 3rd party support zipo hapa nimeshaletewa notification ya cm 14.1 kwenye s5, official update ya cyanogen ya android 7.1
Mbona iko karibu sawa na J7 prime tofauti ni ukubwa wa screen, battery na RAM tu ubaya wake ni nini?j5 prime si nzuri, kwa hio bei unapata j7 prime na change inabaki
Nexus 5 je?Note 4 na S5 2 year Software support imeisha. Nougat itapatikana for S6, S7, na Note 5.
sure kwenye ugumu wa kuinstall, lakini ui wakishaiport theme engine ya cm12/13 faster tu watu wataitengenezea themes yake. mimi japo nina cm ila natumia themes ya touchwiz mtu wa kawaida akiangalia hata hajui kama natumia custom rom.Highly unlikely, but Cm 14.1 nzuri very stable kwa testing yangu ya hizi siku chache but kum expect mtu wa kawaida ku flash custom rom ni kazi nzito na haiwezi kuifikia hata robo Official Grace ui ya Nougat.
1. display ya j7 prime ni 1080p wakati ya j5 prime ni 720pMbona iko karibu sawa na J7 prime tofauti ni ukubwa wa screen, battery na RAM tu ubaya wake ni nini?
Nexus 5 je?
sure kwenye ugumu wa kuinstall, lakini ui wakishaiport theme engine ya cm12/13 faster tu watu wataitengenezea themes yake. mimi japo nina cm ila natumia themes ya touchwiz mtu wa kawaida akiangalia hata hajui kama natumia custom rom.
yap touchwizz ina feature nyingi, ila ninazozihitaji sasa hivi zipo aosp, multi windows, doze, themes nyeusi kwa ajili ya amoled etcBora kuweka Rom port za s7 au Note 7 kwenye S5 nadhani maana kuna vitu vingi unakosa amabavyo stock Android bado haina maana kiukweli nikiwa natumia Cm naona kuna vitu vingi sana Navi miss
Napenda hiyo description mimi niiweke hivi S- for senior people A- for average income people J-for juniorsSamsung S na Note Series ni High end au Flagship
Samsung A series ni Mid range
Samsung J series ni Low/Affordable..
Hii ni kwenye maswala ya marketing segmentation, S series kwa wenye kipato cha juu, A kipato cha kati, J kipato cha chini.
Na kwenye S5 vs Iphone 5 yote ina depend na wewe but Samsung s5 ni latest zaidi ya hiyo iPhone , better screen, but kwa sasa maana iPhone 5 ina ios 10 bora kuchukua iPhone 5 maana ina better support bado
Ivi ile www.bestmobb.comMkuu hayo ni matoleo yao ili kujua ipi bora kuliko ingine unaweza kugoogle au ingia gsmarena kisha tafuta compare hapo waweza kufanya ulinganifu na ukagundua simu ipi ni bora kuliko nyingine
yap touchwizz ina feature nyingi, ila ninazozihitaji sasa hivi zipo aosp, multi windows, doze, themes nyeusi kwa ajili ya amoled etc
nimemaanisha vitu nilivyokuwa nikitumia zamani touchwiz now vipo aosp, najua vyote vipo touchwiz toka zamaniMbona zote hizi zipo multi window tokea enzi za note 2 sema sio kila app itakubali but the best zinakubali, doze ipo tokea Lolipop kwenye kila simu na theme nyeusi pia kwenye theme store zipo nyingi sana as well ukiweka Goodlock ui unapata hadi status bar kama ya stock Android.
Sema tu ujinga wa touchwiz ni slowness na stutters kila kukicha.