Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
CHIEF MKWAWA na wengineo naomba mnisaidie katika hili, natumia Microsoft Lumia 430 Dual Phone.
Simu yangu baadhi ya website nikifungua nashindwa ku-scroll down and up. Sielewi tatizo ni nini. Naomba msaada tafadhalini sana.
Asanteni.
Simu yangu baadhi ya website nikifungua nashindwa ku-scroll down and up. Sielewi tatizo ni nini. Naomba msaada tafadhalini sana.
Asanteni.