mchushi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 216
- 98
Habari zenu wanatech wa humu ndani nina budget ya around 300-350k nahitaji kununua smartphone na nina option hizi tatu,galaxy s4,htc m7,na Lg g2, naomba kwa kutumia uzoefu nifahamishwe device gani inastahili hicho kiasi cha fedha kwa nyakati hizi za anko Magu au kama kuna device nyingine isiyotumia mediatek naweza pata kwa budget hiyo na sababu zake,natanguliza shukrani.