Wakuu wa humu naomba kuuliza
Kwamba juzi nilidownload application inaitwa booster katika pc yangukatika kuifungua ikaonesha kuwa AMD processor is out to date need for update je kuna uwezekano...
Wadau natafuta app gani ya android ambayo nikipiga picha kwa simu inasave automatically na hata ikitokea nimefuta picha zote basi inaweza kunifanya nikazipata tena
SAMSUNG GALAXY S6 EDGE SM G925F
haisomi line inaandika emergency only baseband haisomi, imei haipo/null kama kuna mtaalaam anaweza anisaidie nipo arusha mjini maeneo ya stand kubwa
Habari wanajamii ninaomba kufahamu kuhusu hii app inasaidia nini ktk simu kwasababu ninaona inakula space kwa mb70 ukiupdate ninatumia tecno w4,app yenyewe ni android system webview
salaam wakuu. nahitaji msaada nini nifanye ili pc yangu iweze kutunza moto. modeli ya pc husika ni lenovo thinkpad L412
Leo ni siku ya nne najaribu kuichaji inagoma. iniandikia ujumbe huu, "pluged...
Nilikuwa nahitaji kuweka application kwa playstore ila kuweka Inahitajika $25. Ila tatizo payment method lazima utumie PayPal nami PayPal account sina. Kama kuna ajuaye kutumia payment method...
wakuu habari zenu
Ni jinsi gani naweza trace/track namba ya mtu na kutambua sehem mtu/mmiliki wa namba husika alipo/alipo kuwepo (kama atakua hayupo hewani) , either kwa kutumia app au njia...
Jana niliingiza flash yangu kwenye PC, ikaniletea ujumbe wakuitaka niifotmat badala ya kufunguka, na mimi sikutaka kufanya hivyo kwani kwenye flash kuna docs na files za muhimu za ofisini. Hivyo...
Wakuu naomba ushauri nina 570000 nataka kununua laptop kwa matumiz ya kawaida yaan kuangalia movie, series, gaming, ku download na shughuli ndogondogo kama kuchapa baadhi ya doc. kuhifadhi data...
Nimeviangalia havina tofauti yoyote na tigo ndo vile vile tu zikitofautiana ni mb chache na wameiga kale ka katabia ka tigo kusema kifurushi ni unlimited kumbe wanamaanisha unlimited speed. Kwa...
Kila jambo huwa na madhara kwa mara ya kwanza na nadhani hata aliyegundua umeme alipata sekeseke la kupgwa shot au pengine aliuawa kwa umeme.
Habar zenu wana JF, nimeifanyia rooting Vodafone...
Wajuzi wa mambo salaam.
Mimi ni mpigapicha mkongwe (nilikuwa nikitumia Camera kubwa aina ya Pentax - ya mikanda) ila ni mgeni katika kutumia DSLR. Nimenunua Nikon D5100 na naomba kujua setting...
Habari zenu wakuu, nimepata changamoto kwenye laptop yangu,naamini kupitia uzi huu nitapata msaada..Tatizo liko namna hii
wakati nauninstal kaspersky ikanileta maneno yakimaanisha ili niweze...
Nina j5 ina siku mbili ni ya 2015 3g ina glass protector na kava la kuvutia vyote vipyaaaa nataka nibadilishane na mwenye j7 ya 4g ya 2015 mpyaaa....
njoo PM tuyajengeeeee naitamani sana hio...
Habarini wana jamvi.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, ninaomba mniazime utaalamu wa namna ya ku apply emoj (zile za whatsapp)kwenye posts za hapa jf, 'cause mimi niki apply from my phone's...