Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,403
- 1,875
Kila jambo huwa na madhara kwa mara ya kwanza na nadhani hata aliyegundua umeme alipata sekeseke la kupgwa shot au pengine aliuawa kwa umeme.
Habar zenu wana JF, nimeifanyia rooting Vodafone VF685 kwa kufuata proccess zote ila baada ya finishing kuna haya yamejtokeza
1. Home key haifanyi kaz hata nkitumia ya kudownload haifany kazi
2. Lock zote ya pattern na slide haionekan na hata nkitumia ya kudownload haifanyi kazi
3. Google playstore haitingi.
4. Shortcut ya kuscrow down il upate menu nayo haionekani.
Kwa kifupi root at your own risk, mpaka sasa sijapata suluhisho la haya matatizo je is there any alternative!!!!!!
Habar zenu wana JF, nimeifanyia rooting Vodafone VF685 kwa kufuata proccess zote ila baada ya finishing kuna haya yamejtokeza
1. Home key haifanyi kaz hata nkitumia ya kudownload haifany kazi
2. Lock zote ya pattern na slide haionekan na hata nkitumia ya kudownload haifanyi kazi
3. Google playstore haitingi.
4. Shortcut ya kuscrow down il upate menu nayo haionekani.
Kwa kifupi root at your own risk, mpaka sasa sijapata suluhisho la haya matatizo je is there any alternative!!!!!!