Whatsapp Notification status.

Whatsapp Notification status.

Wick

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
8,312
Reaction score
12,198
Habarini wakuu.
Kuna tatzo nalipata kwenye simu yangu, ni kwamba kuna muda huwa nakua bizy na mambo yangu mengine sasa simu inaniletea notification ya whatsapp inayosema "YOU MAY HAVE NEW MESSAGES" lakini ukiifungua application hukuti kitu kipya. Hii kitu imekua inanikera nawezaje izuia isiwe inaniletea hicho kinotification.
Nimejaribu switch simu to silent but still kinaiforce simu ivibrate ingawa simu yangu nilishaitoa vibration (sipendelei simu kuvibrate).
Msaada tafadhali.
 
Habarini wakuu.
Kuna tatzo nalipata kwenye simu yangu, ni kwamba kuna muda huwa nakua bizy na mambo yangu mengine sasa simu inaniletea notification ya whatsapp inayosema "YOU MAY HAVE NEW MESSAGES" lakini ukiifungua application hukuti kitu kipya. Hii kitu imekua inanikera nawezaje izuia isiwe inaniletea hicho kinotification.
Nimejaribu switch simu to silent but still kinaiforce simu ivibrate ingawa simu yangu nilishaitoa vibration (sipendelei simu kuvibrate).
Msaada tafadhali.
Inamaanisha kuna watu wametembelea profile/ status Update yako. Hii ni kwa whatsapp mpya tu.

Sasa ingia kwenye whatsapp settings, privacy , DISABLE READ RECEIPTS kwa upande wako.
 
Inamaanisha kuna watu wametembelea profile/ status Update yako. Hii ni kwa whatsapp mpya tu.

Sasa ingia kwenye whatsapp settings, privacy , DISABLE READ RECEIPTS kwa upande wako.
Shukrani mkuu.
 
Ikifanya hivyo weka sim ndani ya ndoo yenye Maji kisha itoe
Hutoona tena msg kama hio..
Hii Tz yetu tueleweshane kinyumbu nyumbu tu manake mtoa Uzii huu nae nyumbu kiongozi
 
Ikifanya hivyo weka sim ndani ya ndoo yenye Maji kisha itoe
Hutoona tena msg kama hio..
Hii Tz yetu tueleweshane kinyumbu nyumbu tu manake mtoa Uzii huu nae nyumbu kiongozi
Huoni kuwa hujamtendea haki,badala ya kumsaidia kutatua tatizo moja kwa moja wewe una mhukumu?
 
Ni kwa Whatsapp Mpya Tu hiyo
Toa mpya Rudisha ya zamani
Utakua umemaliza Tatizo
 
jaribu kutuma kama text zinaenda au haziendi, maana mimi ilikuwa inanifanyia hvyo kumbe text zinatumwa ila nilikuwa sija allow whatsapp to use mobile data, ila ukiconnect Wi-Fi text utaziona
 
Back
Top Bottom