Wakal was haya mambo wasiskip hoi post

Wakal was haya mambo wasiskip hoi post

Good Hood

Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
76
Reaction score
35
Hiv hii machine Kwa game gan inafaa na nitaifanyaje ili niweze kucheza latest games mwenye idea yeyote msaada wako ndo mwisho was tatizo langu nauliza iv kwa sababu kuna pes 15 na linacheza tu vizur
581ae7eec15200306d6593aaa9eb6a91.jpg
 
Jaribu kutulia na uandike vizuri post yako itaeleweka na utapata msaada. Punguza vifupisho vya maneno.
 
Kwa hiyo nitafanyaje hapo mkuu
Mi sio mkali wa magemu japo mi mtaalamu wa comptr ukitaka kuenjoy game at least Ram iwe 4gb na core 3 [emoji335] apo unakuwa na uwezo wa kucheza magem mkubwa hata ya mpira
 
haiwez kucheza games kubwa, na pes si games kubwa laptop dhaifu pia zinacheza
 
Mi sio mkali wa magemu japo mi mtaalamu wa comptr ukitaka kuenjoy game at least Ram iwe 4gb na core 3 [emoji335] apo unakuwa na uwezo wa kucheza magem mkubwa hata ya mpira
Kwa hiyo external ram ya 4gb naweza kupata kwa shingap na kujua computer yang ina core ngap nifanyaje
 
Back
Top Bottom