Mbele yako kuna swichi tatu za balbu, moja kati ya hizo huwasha balbu iliyo ghorofa ya chini. Kutoka mahali unaposimama, huwezi kuona mwanga wa ghorofa ya chini,
Chagua ni swichi gani...
Habari wakuu.
Kwa yoyote mwenye uelewa kuhusiana na hii platform ya IDEA DEBATERS inayotrend sana mtandaoni. Naomba ufafanuzi zaidi ya namna inavyofanya kazi na usalama wake wa kuinvest izo pesa...
Habari za wakati huu wana_jukwaa? Ni imani yangu mtakuwa mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku.
Kama heading inavyojieleza, Nahitaji:
1. Kuweka windows 10 pro na drivers zake kwenye Kompyuta...
UNAJUA KWANINI UNUNUE POCO F4 GT !!
Xiaomi wanaendelewa kufanya vizuri kwenye matoleo mbalimbali ya simu Leo hii wameachia simu mpya aina ya POCO F4 GT nchini UK ni simu Kali yenye muonekano...
Kuna simu LG velvet ni mpya nilichukua AE, simu ni toleo la Korea T-Mobile
Iko unlocked kwa mtandao wowote shida ukitaka kuunga kifurushi mfano upige *149*01# ujumbe unaokuja ni kama huo hapo...
Habari wana jukwaa, samahani naomba kufaham jinsi ya ku-unfollow kwa pàmoja watu niliowafollow instagram maana niwengi nataka nibakishe wachache tu kama sio kuondoa wote kabisa. Binafs nimejarbu...
Following endless poaching acts in our national reserves
I urge our researchers, and other scientists to heavily invest and research on how we can plant genes/DNA or anything that can help in...
Instagram wazindua mfumo wa kutoa taarifa kuhusu watoto waliopotea kwenye eneo lako !!!
Moja kati ya mtandao unaotumiwa na wengi ni Instagram huna jumla ya watumiaji zaidi ya bilioni moja...
No need to say more,
Hii game Kali sana wakuu. Grafix nzuri pia multiplayer options nzuri sana. Nimependa pia option ya kucheza huku mnaongea (voice chat), nimepata marafiki Malawi na Zambia na...
Kwema Wakuu? Mafundi simu upande wa software na wadau wote mnaofahamu matatizo ya software za simu,nisaidieni utatuzi.
1:Vida k242(voda kitochi) APP ya contact inafunguka lakini haiwezekani...
Back in August of 2020, Russia shocked the world by announcing that they had developed the world’s first vaccine for the “new” coronavirus, seemingly taking delight in the fact that they beat the...
Hii Drone X Pro ni ndogo kwa umbo lakini inasaidia sana kukuwezesha kupiga picha mbalimbali khasa zile za selfie.
Inafanyaje kazi
Unachotakiwa kwanza ni kufungua app yake ya Drone X Pro...
Wadau Watalaamu wa TV naomba kuelimishwa juu ya TV aina ya SAMSUNG kutoa tumistari kwenye Screen TATIZO ni nini?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kuna wakati unahitaji kuhifadhi vitu vyako kwenye Hali ya usiri sio kila mtu hajue mambo yako binafsi ndo maana tunashauliwa kutumia external hard disk kuweza kuhifadhi vitu vyetu.
Unajua...
ACHANA NA HDD KUANZIA SASA TUMIA SSD !!
Je unatafuta sehemu salama ya kuhifadhi vitu vyako !! Je hard disks Yako imepungua Kasi kwenye kutuma au kurusha kitu ? Au unatafuta sehemu salama ya...
Kuna progrmammes ambazo unaweza kusi download kwenye simu ambazo unaweza kupima eneo lako (area, perimeter etc) na accuracy ya juu.
Please mwenye kujua programe hiyo anisaidie inaitwaje.
Kompyuta au laptop Yako inashindwa kuunganisha na wifi !!!
Wifi imekua teknolojia muhimu Sana kwa muda mrefu kwenye simu au kompyuta zetu , mara nyingi tunaichukulia ni rahisi Kama vile umeme...