Unajua kwanini uachane na kutumia Hard Disk?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
ACHANA NA HDD KUANZIA SASA TUMIA SSD !!

Je unatafuta sehemu salama ya kuhifadhi vitu vyako !! Je hard disks Yako imepungua Kasi kwenye kutuma au kurusha kitu ? Au unatafuta sehemu salama ya kuhifadhi taarifa zako !! Huu ni wakati wako wa kufanya maboresho.

Najua watu wengi wanatumia Hard driver kwenye kuhifadhi vitu vyako mbalimbali Kama picha , video , documents ma file makubwa na madogo Ila ni wakati wa kuachana na Hard disk tumia SSD !!!

SSD kirefu chake ni solid state drive ni aina moja wapo ya kifaa Cha kuhifadhi data (taarifa) Kama ilivyo hard driver ila ina utofauti mkubwaa Sana.

Unajua kwani utumie SSD badala ya HDD ?
Ukitumia SSD Iko fast Sana kuliko hard driver kwani Kasi yake ni mara mia moja ya hard driver Iko faster katika kuhamisha data au kukopi data kutoka kwenye flash au kutoka kwenye SSD kwenda kwenye flash.

Pia ni Nyepesi sio nzito alafu aina kelele yoyote ukitumia SSD utaondokana na stress kwenye kompyuta au laptop Yako kupiga piga kelele alafu sio nzito haichoshi.

Ukitumia SSD inadumu muda mrefu pia ni imara Sana alafu haifi kizembe Kama hard drive

Pia haipati joto moja kati ya changamoto kubwa ya hard drive ni kupata Sana joto Ila ukitumia SSD icho kitu utakisikia tu kwa jirani kwa sababu kwenye hard drive inapata joto kutokana na mzunguko wake.

Ziko faida nyingi Sana za kutumia SSD Ila ngoja nikumalizie na performance Unajua unapotumia SSD ufanyaji wake kazi ni mkubwa Sana kuliko hard drive ivyo haichezi chezi Wala kuhalibika kizembe.

Tumia SSD kwa ajili ya kompyuta au laptop Yako ili kuondokana na matatizo ya kuganda Ganda , kompyuta kuwa nzito kwenye kuwaka au kutumia , kupiga piga kelele nk.

Karibu dukani kwetu tukuhudumie Sasa

tupigie Sasa #0655013256 | #0692630904 | #0765171270

Teknolojia ni Yetu sote
 
Weka na picha basi ya iyo SSD wengine tupo burundi huku hutuvijui hivyo vitu
Karibu tunatuma mpaka nchi za jirani
images.jpg
2_20220525_210507_0001.jpg
 
ACHANA NA HDD KUANZIA SASA TUMIA SSD !!

Je unatafuta sehemu salama ya kuhifadhi vitu vyako !! Je hard disks Yako imepungua Kasi kwenye kutuma au kurusha kitu ? Au unatafuta sehemu salama ya kuhifadhi taarifa zako !! Huu ni wakati wako wa kufanya maboresho.

Najua watu wengi wanatumia Hard driver kwenye kuhifadhi vitu vyako mbalimbali Kama picha , video , documents ma file makubwa na madogo Ila ni wakati wa kuachana na Hard disk tumia SSD !!!

SSD kirefu chake ni solid state drive ni aina moja wapo ya kifaa Cha kuhifadhi data (taarifa) Kama ilivyo hard driver ila ina utofauti mkubwaa Sana.

Unajua kwani utumie SSD badala ya HDD ?
Ukitumia SSD Iko fast Sana kuliko hard driver kwani Kasi yake ni mara mia moja ya hard driver Iko faster katika kuhamisha data au kukopi data kutoka kwenye flash au kutoka kwenye SSD kwenda kwenye flash.

Pia ni Nyepesi sio nzito alafu aina kelele yoyote ukitumia SSD utaondokana na stress kwenye kompyuta au laptop Yako kupiga piga kelele alafu sio nzito haichoshi.

Ukitumia SSD inadumu muda mrefu pia ni imara Sana alafu haifi kizembe Kama hard drive

Pia haipati joto moja kati ya changamoto kubwa ya hard drive ni kupata Sana joto Ila ukitumia SSD icho kitu utakisikia tu kwa jirani kwa sababu kwenye hard drive inapata joto kutokana na mzunguko wake.

Ziko faida nyingi Sana za kutumia SSD Ila ngoja nikumalizie na performance Unajua unapotumia SSD ufanyaji wake kazi ni mkubwa Sana kuliko hard drive ivyo haichezi chezi Wala kuhalibika kizembe.

Tumia SSD kwa ajili ya kompyuta au laptop Yako ili kuondokana na matatizo ya kuganda Ganda , kompyuta kuwa nzito kwenye kuwaka au kutumia , kupiga piga kelele nk.

Karibu dukani kwetu tukuhudumie Sasa

tupigie Sasa #0655013256 | #0692630904 | #0765171270

Teknolojia ni Yetu sote
Vp inaweza kuwekwa kwny pc yeyote?
 
Inategemea unatumia hizo drives kufanya nini.

Kama unatumia drive kwaajili ya kuhifadhi data ambazo utahitaji kuzi-access kwa ufanisi zaidi kila baada ya muda mfupi (mfano, kila siku), SSD ni bora zaidi kuliko HDD.

Lakini, kama unatumia drive kwaajili ya kuhifadhi data zako kwa muda mrefu bila kuzi-access kila mara, HDD ni bora zaidi kwa kazi hiyo kuliko SSD.
 
Kutopata JOTO sio kweli
kudumu SSD kuliko HDD sio kweli

sifa kubwa za SSD ambazo HDD hakuna
ni kuwa faster ni kweli faster haswa yaan very faster hata PC za zamani zinazosuport SATA 6.0 tu ukifunga unaweza ukajikuta PC ya 1st gen ukadhani ni 10thgen
na sifa nyingine kutokuwa na mjongeo hii inafanya iwe kimya bila kuhisi muungurumo ama makelele kama unatumia hizi laptop za SOC huwezi kuhisi chochote kama hii lapto ipo ON mpk disply iwake

swala kutopata JOTO lipo sawa tu na HDD inategemea na matumizi ya computer na aina ya computer
tena HDD ina uwezo wa kuhimili joto zaidi kuliko SSD

hapo kwenye UBORA sasa kama utaepuka HUMAN ERROR (mana 90% za HDD hufa kabla ya wakati kutokana na HUMAN ERROR)
basi HDD ni BORA na inadumu KULIKO SSD
ukweli upo hivyo kutokana na matumizi tunatumia kila siku na ninaona sio mapambio ya mtandaoni
 
Back
Top Bottom