Kwanini ununue Poco F4 GT

Kwanini ununue Poco F4 GT

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,285
Reaction score
2,595
UNAJUA KWANINI UNUNUE POCO F4 GT !!

Xiaomi wanaendelewa kufanya vizuri kwenye matoleo mbalimbali ya simu Leo hii wameachia simu mpya aina ya POCO F4 GT nchini UK ni simu Kali yenye muonekano flani Hivi wa kusisimua.

Specs:
[emoji117] DISPLAY AMOLED 120hz (480hz touch)
[emoji117] Ram 8 / 12GB ++ 128 / 256GB storage
[emoji117] Battery 120W Fast Charging technology
[emoji117] Snapdragon 8 Gen 1
[emoji117] Magnetics Pop up triggers
[emoji117] knight Silver / Stealth Black & Cyber Yellow (colours)
[emoji117] [emoji765] 499 and [emoji765]699

Ndani ya Box[emoji320]
Kama wewe ni mpenzi wa ma game basi simu hii ni Yako kabisa pia watumiaji wote mnaweza kutumia bila shida yoyote Ile.

Nilichokipenda ni uwezo wa kuchaji simu kwa dakika 17 tu na kujaa papo hapo kutokana na kutumia teknolojia ya fast charging 120w Ivyo kupelekea simu kujaa ndani ya dakika 17 betri lake ni 4700mah.

Kuna magnetic triggers butoni ambayo utatumia kufanya mambo mengi tu Iko upande wa kushoto utaweza kupiga picha , kurekodi video au audio pia kuiweka On wakati unacheza games.

Speaker nne Tweeter na woofers hutoa sauti zenye ubora Sana wakati unatizama video au kusikiliza kitu bila shida yoyote zikiwa zimewekwa sehemu ambayo ni ngumu kuzuia wakati unaishika simu Yako ivyo unaipa uhuru speaker kufanya kazi vizuri pia inatumia USB type C.

Pia uwezo wa kutumia simu Yako na kuunganisha na Tv kwa kuweza ku control tv, gari nk. Kwenye kitufe Cha kuwasha na kuzima pia Kuna fingerprint. Akuna Sehemu ya kuweka SD card.

Inatumia android version 12 Iko very fast kutokana na kutumia chipset aina ya Snapdragon generation 8 ivyo Iko fast.

Changamoto yake Ina tabia ya kupata Sana joto wakati unacheza game [emoji452] japo simu nyingi za Android ziko ivyo Ila Sio shida Sana Ina changamoto ya network Kuna wakati inashuka sana japo Ina support 5G.

Overall rate 8/10 [emoji383]

Tuachie maoni Yako Hivi unaionaje Kampuni ya XIAOMI na matoleo Yao ya simu ?

IMG_20220527_094408_349.jpg
 
anaropokoa tu huyo nae aonekane ameandika Flagship karibu zote ndio zimetumia hyo alaf anasema ni kimeo.
Endeleen kukariri bila kusaka fact kesi zake za overheating hamjaziona au mnakuja tu toa lawama hapa kiubishi wa kuamini kwa kua ni chip ya flagship basi ndio haina shida Chief-Mkwawa tusaidie kidogo
 
Endeleen kukariri bila kusaka fact kesi zake za overheating hamjaziona au mnakuja tu toa lawama hapa kiubishi wa kuamini kwa kua ni chip ya flagship basi ndio haina shida Chief-Mkwawa tusaidie kidogo
Gaming phone nyingi zina protective mechanisms kama fan za kupunguza heat na cooling system ambazo zinasaidia kupunguza hyo ndio sd 8 gen 1 ina throttling issue lakini sidhani ni tatzo kubwa kiivo kama hzo measures nyengine have been taken properly.
 
anaropokoa tu huyo nae aonekane ameandika Flagship karibu zote ndio zimetumia hyo alaf anasema ni kimeo.
Sd gen 1 inaoverheat unapoipush to its maximum kama matumizi ya game unless kama unaitumia kawaida sio rahisi kunotice hzo throttling issues.
 
Gaming phone nyingi zina protective mechanisms kama fan za kupunguza heat na cooling system ambazo zinasaidia kupunguza hyo ndio sd 8 gen 1 ina throttling issue lakini sidhani ni tatzo kubwa kiivo kama hzo measures nyengine have been taken properly.
Ukitoa Nubia na top Gaming phone nyengine cooling za Xiaomi sidhani kama wanatumia fan. Kifupi cortex X1/X2 zimefeli sana sokoni, Arm wametuangusha na sio tu Snapdragon even Exynos, Tensor na Mediatek zenye Cortex X2 zinazingua. Dimensity 9000 na Exynos 2200 zote zina Throttle vibaya mno. Ukirun kitu kizito kama Game baada ya dakika kadhaa perfomance ina drop mno na inakula umeme wa kutosha.
 
Endeleen kukariri bila kusaka fact kesi zake za overheating hamjaziona au mnakuja tu toa lawama hapa kiubishi wa kuamini kwa kua ni chip ya flagship basi ndio haina shida Chief-Mkwawa tusaidie kidogo
Kwa sasa kama unataka Soc nzuri highend ni Mediatek Dimensity 8100 na snapdragon 870 ipo pia Exynos 1080 sema imetumika simu chache sana, hizi ndio zinafanya vizuri, na Midrange ni hio snapdragon 778G na Dimensity 920.

Unaweza Ukatumia snpadragon 8 gen 1, snapdragon 888 ama Dimensity 9000 na Exlynos 2200/21000 ila vyema ukai Throttle, mfano Samsung wao wameilimit itumie Around watts 4, hapa Perfomance itapungua ila angalau simu itakaa na Chaji.

Mimi Binafsi kama nanunua Highend na nina uwezo wa Kuroot na kuweka Custom kernel, basi simu yenye snapdragon 870 ndio ingekuwa Choice yangu, perfomance yake uki overclock Gpu ni kubwa kushinda hata kina snapdragon 888.

Kama ni mtumiaji wa kawaida huhitaji Kuroot na unatumia tu apps za kawaida nzito nunua Dimensity 8100.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom