Remsi has reported an error over your website:
Reason:Iam trying to browse www.tz.undp.org , since yesterday it does not respond, is it my computer or a queue is causing it, cause other website opens
Ndugu zangu ,
Nauliza ni mtandao upi unafaa kujiunga nao kwa mtu mwenye simu ya Blackberry hapa bongo,
Nitawashukuru mkileta maoni na uzoefu wenu kwa mnaotumia blackberry hapa bongo
I have installed suse linux in more than five machines. And i have one extra machine where i have windows xp installed inside it. I have a printer connected to that windows machine. I have shared...
MATATIZO KATIKA KUINSTALL WINDOWS XP
Kuna jambo moja ningependa kujadiliana na watu kidogo , nalo ni kuhusu matatizo ambayo watu wengi wanakumbana nayo katika kuinstall windows xp pamoja na...
WanaJF habari za asubuhi!
nimepata tatizo kwenye desktop yangu,mwanzo nilikuwa nikii-shut down inajizima,toka juzi nikii-shut down inajiwasha tena yenyewe bila ya kuwashwa,siwezi kuizima kwa...
Hi guys,
I have just finished building a web application that would work almost like ebay and some few online bidding, How it would work is like this, a person would have to register for free...
wana jf naomba ushauri wenu! ni enternate connection gani mnatumia ambayo inaweza kuwa cheap zaidi na mimi nijiunge nayo? kwa sasa natumia ttcl mobile lakiniwao wamepandisha gharama kutoka sh 50...
Awali sim za mkononi zilipoingia zilikuwa ghali sana. Si line, si vocha, si handset. Hali hii ilisababisha kuibuka kwa vibanda vya sim. Hivi vilidumu hadi sim ziliposhuka bei vikafa natural death...
Toka jana Mtandao wa zantel hawana huduma ya GPRS nimejaribu kuwapigia simu, wanadahi kuwa "wateja ni wengi hivyo ni jaribu jioni labda nitaweza kupata access ya internet" hivi haya ndio majibu...
Nina website sasa kuna mteja kaniambia tangu jana kwamba website haionekani... lkn mimi hapa tz naipata nini inaweza kuwa tatizo na ni fanya je?
msaana wenu ni mhimu sana kwangu
Jana nilizima laptop yangu ikiwa inafanya kazi vema lakini leo nimeiwasha inawaka lakini haidisplay chochote nimejaribu zaidi ya mara ishirini
Je tatizo linaweza kuwa ni nini????? wataalam...
Africa's forests are disappearing faster than those in other parts of the world because of a lack of land ownership, a report says.
Less than 2% of Africa's forests are under community control...
Nina lap top ambayo kirus kimekuwa operating file. utaalamu wangu mdogo kwenye mambo ya compyuta umenifanya nifikie uamuzi kuwa the best solution to ku-reformat the lap top. Lakini nimegundua kuwa...
Wapo watu wengi wanakuwa wanalalamika kuhusiana na email zao kuunganishwa bila hiari zao kuingia kwenye hii Bidii Afrika Google Group ya rafiki zetu toka Kenya.
The way forward to get your email...
Wakuu ktk nyanja ya kiteknolojia; wiki hii nimeletewa Laptop Dell Vostro 1500 ina tatizo lifuatalo: -
Ukiiwasha baada ya kuload kila kitu na ku-login ktk profile husika inaingia moja kwa moja ktk...
TUTUMIE MTANDAO KUJITANGAZA NA KUJENGA
NDUGU WATANZANIA POPOTE MLIPO
Napenda kuchukuwa fursa hii kuandika jambo kidogo kuhusu suala hili la mtandao , jinsi tunavyoweza kujenga mitandao yetu...
Sisi wengine kuandika msg kwenye sim tunaona mzigo. Mfano ukitaka kuandika 'Z' hadi uminye mara 4! Sasa hii ni kero na inapoteza muda. Mbona english inakuwa simpo? Hakuna waswahili wanaoweza...