AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 17
Wakuu ktk nyanja ya kiteknolojia; wiki hii nimeletewa Laptop Dell Vostro 1500 ina tatizo lifuatalo: -
Ukiiwasha baada ya kuload kila kitu na ku-login ktk profile husika inaingia moja kwa moja ktk my documents. Desktop items zoote hakuna na wala ile baa ya chini (start bar) hakuna; inshort - desktop disabled.
Through my documents naweza kufanya mambo yangu yoote; kuzima PC lazima nitue Alt+Ctrl+Delete then naselect shut down option (mtumiaji alikuwa anazima km kibatari ( anabonyeza switch hadi izimike)
Nilimdadisi chanzo akaniambia alitumia ktk net (TTCL) alipomaliza kazi zake akazima laptop akaenda zake kulala. Alipoenda nayo kazini kuiwasha ndio akaona hivyo.
NILICHOFANYA
step: 1. Nilienda ktk safe mode, nika-restore hadi tarehe/siku before tatizo lililotokea; ika-restart, kurudi ni yaleyale.
step: 2. Nikaenda tena ktk safe mode without system restore; nikatengeneza PROFILE MPYA, then nika-restart PC. Ilipoamka nikaingia ktk profile mpya; but game ni ileile na profile hiyo hupati kitu chochote (my documents ipo empty na hata zile options nyenginezo ambazo ktk old profile nazipata (km control panel, my computer n.k) huku sizipati.
step: 3. Nikafanya utundu mwengine wa kufuta baadhi ya programs n.k but tatizo lipo pale pale. Pia niliingia ktk FORUM ya Dell but sijapata majibu yenye kuridhisha zaidi ni procedure amabazo nishazifanya.
Je yupo ambae ameshakutana na tatizo km hili?? au mwenye clue???
CPU: Core Duo
OS: Windows Vista Business
RAM: 2 GB
HDD: I60 GB
Tusaidiane mbinu na mawazo.
Nawasilisha
Ukiiwasha baada ya kuload kila kitu na ku-login ktk profile husika inaingia moja kwa moja ktk my documents. Desktop items zoote hakuna na wala ile baa ya chini (start bar) hakuna; inshort - desktop disabled.
Through my documents naweza kufanya mambo yangu yoote; kuzima PC lazima nitue Alt+Ctrl+Delete then naselect shut down option (mtumiaji alikuwa anazima km kibatari ( anabonyeza switch hadi izimike)
Nilimdadisi chanzo akaniambia alitumia ktk net (TTCL) alipomaliza kazi zake akazima laptop akaenda zake kulala. Alipoenda nayo kazini kuiwasha ndio akaona hivyo.
NILICHOFANYA
step: 1. Nilienda ktk safe mode, nika-restore hadi tarehe/siku before tatizo lililotokea; ika-restart, kurudi ni yaleyale.
step: 2. Nikaenda tena ktk safe mode without system restore; nikatengeneza PROFILE MPYA, then nika-restart PC. Ilipoamka nikaingia ktk profile mpya; but game ni ileile na profile hiyo hupati kitu chochote (my documents ipo empty na hata zile options nyenginezo ambazo ktk old profile nazipata (km control panel, my computer n.k) huku sizipati.
step: 3. Nikafanya utundu mwengine wa kufuta baadhi ya programs n.k but tatizo lipo pale pale. Pia niliingia ktk FORUM ya Dell but sijapata majibu yenye kuridhisha zaidi ni procedure amabazo nishazifanya.
Je yupo ambae ameshakutana na tatizo km hili?? au mwenye clue???
CPU: Core Duo
OS: Windows Vista Business
RAM: 2 GB
HDD: I60 GB
Tusaidiane mbinu na mawazo.
Nawasilisha