Jana nilizima laptop yangu ikiwa inafanya kazi vema lakini leo nimeiwasha inawaka lakini haidisplay chochote nimejaribu zaidi ya mara ishirini
Je tatizo linaweza kuwa ni nini????? wataalam nisaidieni kuna report natakiwa niitoe kwenye hii pc nitafanya nini????
Je tatizo linaweza kuwa ni nini????? wataalam nisaidieni kuna report natakiwa niitoe kwenye hii pc nitafanya nini????