Using FireFox you'll get this error:
Failed to Connect
Firefox can't establish a connection to the server at gmail.com.
Though the site seems valid, the browser was unable to establish a...
Tafadhalini wataalam nina maswali mawili nahitaji kujuzwa:
1) Ninawezaje kufungua/kuanzisha ukurasa mwingine pasipo kutumia enter baada ya kuwa nimeandika nusu ya ukurasa mmoja?
2) Kuna siku...
Heshima kwenu wakuu. Nataka ku-download Apache http server(mobile version) ili i-run on my Nokia E90(Symbian 9.2 OS, S60 3rd edition feature pack 1)
Tatizo ni kwamba napata certifcate error...
Wasalaam Member wa JF! Nina Desktop PC yangu (Founder KC-2) ambayo tatizo lake kubwa ni Driver ya Audio Controller. Nimetafuta sana kwenye Internet bila mafaniki. Naomba kama kuna mwenye Idea na...
sijui ni kirusi wa aina gani huyu; katafuna CP yangu ya WindowXP Professional.. kanifungia toka Admin privileges, kabadilisha kila background; anazima ka kompyuta kangu every so time (nitake...
Post your favorite Add-Ons Firefox or otherwise.
Mine are:
FEBE - Backsup Firefox, Bookmarks,settings, Add-Ons, stored passwords etc.
Adblock Plus- Blocks all sorts of Ads.
Secure log-in...
Zantel imetangaza Unlimited Package at just 90,000 shillings per Months, 6,000 per day or 30,000 per week. Habari zaidi iko Michuzi Blog, ila sijaweza kuelewa kama ni GSM au CDMA.
Hi guys
Does anyone knows a mobile or pocket pc or palm mobile thats able to access a wireless networks and map them?
I'm putting together some devices which must be portable ***not computer*** is...
Hello,
I have been using msn messenger on my blackberry without any problem. Unfortunately, I cannot use yahoo messenger... Everythime I try, I get prompt like "this program is not enabled on the...
Hello everyone
I'm starting new business of selling used Computers and Laptops, nime fungua duka just 2 months back, nakata advise from my fellow bongo brothers. please let me know if my prices...
Has your Windows computer ever failed to boot or refused to go online?
These problems seem to happen at the most inopportune times. You're going to a business meeting and just want to print out...
I'm in need of affordable netbook. If somebody know were to buy one in Tanzania please inform me. I searched one in the internet which is ASUS eee pc S101 which seem to please me. It uses DC 12V...
Hivi karibuni nimenunua MacBook baada ya kuwa mtumiaji wa PC kwa muda mrefu.
Pia nimenunua Western Digital external hard drive bila kujua ilikuwa formatted for Mac.
Naomba msaada wa kujua...
Windows Software ya D/Top yangu (Dell) haijakuwa Updated kwa hiyo imeniandikia message kwenye screen chini kulia kuwa 'You may be a Victim of Software Counterfeinting. This Copy of Windows Did Not...
Wakuu heshima mbele,
Kwa wale wana-intelligensia ya software naomba kwa hisani yenu mni-link na Microsoft Visual Studio Developer au similar software kwa ajili ya kutengeza executables kutoka...
Please wana jamii send windows vista at least ya mwezi mmoja kwani laptop yangu imecorrupt nimeweka Windows XP matokeo yake haipati hard drive yoyote lakini iko recommended only for windows vista...
Wakuu heshima mbele!mimi ni mtumiaji mzur sana wa MSN messenger kwa kuwasiliana na wadau mbalimbali si unajua tena kupiga simu bongo ni gharama sana!ila kwa sasa imenigomea kabisa niki sign in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.