mi nakumbuka ile chupa ya maji ya zabibu(juice) ni BLACK KARANTI sio black beri...! inauzwa elfu moja mia tano...!Bei ya Blackberry ni kiasi gani?
mi nakumbuka ile chupa ya maji ya zabibu(juice) ni BLACK KARANTI sio black beri...! inauzwa elfu moja mia tano...!
ni nzuri sana kwa kuongeza DAMU!
Watoto huipenda sana haa iki-dailutiwa na maji ya kutosha...1
Ukiwa na blak karant unatumia mtandao wowote na unafanya kazi mswano tu...!
Bei ya Blackberry ni kiasi gani?
http://www.vodacom.co.tz/images/BBPearl.jpgBei ya Blackberry ni kiasi gani?
Bei ya Blackberry ni kiasi gani?
Skills4Ever,kila mtu anaona mtandao anaoutumia ni bora kuliko mwingine,Zain ni nzuri zaidi me mwenyewe ndio natumia mtandao huo.