Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,771
- 2,544
Sisi wengine kuandika msg kwenye sim tunaona mzigo. Mfano ukitaka kuandika 'Z' hadi uminye mara 4! Sasa hii ni kero na inapoteza muda. Mbona english inakuwa simpo? Hakuna waswahili wanaoweza kurahisisha uandikaji wa msg ktk sim?