Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba msaada, hivi inawezekana kuhifadhi data au mafaili yangu binafsi katika CD ninayo'burn' nikatumia 'password' fulani ili mwingine asiweze kuifungua? Pili, inawezekana kuzuia mtu mwingine...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana JF naomba kwa yeyote mwenye software ya "erdas imagine 9.3 au 9.2" anisaidie. Hii ni software ya remote sensing data processing/analysis
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Some people wanted to know which websites are not safe. Before you visit some links please ask experts on how secured are the links. I have an example of few links which are as mentioned below...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Here are my Top 10 favorite anti-virus programs (in no particular order) 1.BitDefender [2008] BitDefender Internet Security - BitDefender has a solid anti-virus product that is easy to use...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Hello JF Natatafuta vitabu au training video za Microsoft Windows Server 2003 and Managing and maintaining a Ms Window server 2003 Inviroment ...ni ngumu kuzi upload kwenye JF lakini will be...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi all, I'm forming a group that would work on the current ant-virus and programms and some few other projects so i'm looking for programmers, graphic designers, security guys, just all those guys...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
nimejaribu kuformat vista ili nilinirudie kuinstall fresh maana mwanzo ilikuwa kwa lugha ya kichina nilifanikiwa kiasi fulani mpaka kwnye kuweka key lakini inakuwa inajirestart kila inapoanza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wanaJF nina tatizo moja nimepata kwenye computer yangu so naomba msaada wenu Computer ilikuwa na VIRUS wa ODINGA nilifanikiwa kumuondoa baadae nika install antivirus ya AVAST...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Visit this site you will get all what you need: HRIS Strengthening Implementation Toolkit: Home If u can use ubuntu, LAMP u will enjoy to customize. U IT people check
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu... Nimekuwa na jaribu kuweka e-mail address yangu ya jamiiforums kwenye outlook yangu ili iwe rahisi kwangu ku access mails akati naendelea na kazi nyengine bila ya mafanikio...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu mbona nikifungua JF napata sana Pop-ups nyingi ...lakini sites zingine hakuna natumia firefox kama browser yangu. Kuna kipi nikifanye maana nine strong antivirus Sophos...hakuna adware wala...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
$6 solar-powered cardboard-box cooker scoops $75 000 challenge April 09, 2009 Edition 1 A $6 (R54) cardboard box that uses solar power to cook food, sterilise water and which could help three...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF heshima kwenu, Nina simu aina ya BlackBerry Pearl 8100 Series nimejaribu kuomba configaration setting za Zain bila mafanikio maana nahitaji ku-activated e-mail address pasipo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nimejaribu kuformat HDD yangu kwa kutumia xp sp2 cd imekataa ; nilichofanya; - nilifanikiwa kwa mara ya kwanza kuweka os kwa kui 'slave' baada ya kuirudisha kwenye CPU yake ikakataa kabisa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
i want to use my phone kuibrowse kama jamii foram emaill na search engine nyingine ni ni NOKIA 5310 xpressmusic v 07.01
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa nini maana ya simu kufungwa ili itumiwe kwenye mtandao mmoja tu (network locked phones). Inafanyikaje? Na kama simu imefungwa hivyo, inatakiwa kufanya nini ili iweze kutumika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Google wapo katika mpango wa kuchukua picha za barabara zote katika nchi nzima ya Uingereza, katika kujaribu kutengeneza tovuti (website) iitwayo kwa kiingereza Street View mapping. Gari la...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Two weeks ago, Microsoft open sourced the ASP.NET MVC code. Today, they announced that they're dropping the price of Sharepoint Designer 2007 as far as it can go - it's now available as a free...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa nionavyo Avant ndio yenyewe na inakatakata matangazo yote yanayojitokeza kwenye webu unayotembelea ,nimetumia hii tokea jana naona lile janajike la kihindi silioni tena na hakuna matangazo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Hi all, The whole planet is today terrorized by the web hackers to whom hacking seems a mode of getting pleasure by the way of gaining knowledge or mere entertainment. A group of serious hackers...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom