hii machine amenunua jamaa yangu, haisomi cd, wala cd rom haionekani kabisa. tumejaribu kubadili cd drive lakini hakuna kitu (wala haiombi instalation.....ng happens!!!), tumejaribu kubadili...
Wadau, laptop yangu tangu juzi inaleta maneno yafuatayo;
"The Logon User Interface DLL msgina.dll failed to load" contact ya system administrator to replace the DLL, or restore the original"...
Hi Team
Kuna Mtu ameshawahi tumia hii Computer...Ikiwa na 64bit.Ni matatizo gani ambayo umekutana nayo.Nimenunua hii machine.64bit nasikia zina matatizo kwenye drivers zake kwa kuwa nyingi ziko...
Habari wakuu, nadhani nitakuwa nimekuja katika sehemu sahihi. Nina camera aina ya fujifilm A800 na laptop aina ya Mac lakini mara ninapoconnect camera haisomi kabisa katika computer.
Tatizo...
Google Buzz goes after Facebook, Twitter
By Doug Gross, CNN
February 9, 2010 5:05 p.m. EST
Google Buzz, a feature of Gmail, aims to compete using elements similar to Facebook and Twitter...
MATAPELI WA INTERNET.
Kuna email inatumwa ikiwa na subject ya "Yahoo Update" au "Gmail Update" au "Hotmail Update". Hii Email inauliza User Name, Password, Birth Date, na Country. Tafadhali...
Nina Toshiba Laptop A205-5833 with Windows Vista, nataka kuiformat nahitaji recovery cd yake ili niweze pata drivers zote. Nalimwaga jamvini mwenye msaada tafadhali.
CHANGAMOTO KATIKA MASHINE SAKA SEARCH ENGINE
Kwa watumiaji wa Kompyuta haswa wale wanaotembelea mitandao mbalimbali ya kompyuta duniani kitu Mashine Saka sio kigeni kwao , wamekuwa...
It's 's almost like those too-familiar infomercials that get so popular around New Year's - time to get rid of the fat and add some muscle. Cisco's done the same to CCNP with today's announcement...
MITANDAO HII ITUMIKE IPASAVYO
Hivi ni mara ngapi umewahi kuandika barua pepe kwenda kwenye anuani ya taasisi Fulani ya elimu ukakuta kumbe haifanyi kazi haswa hizi za mawasiliano kwa wote kama...
Mzee mzima Steve job wa apple anaongea kesho 10am PTwednesday-US)....seems anakuja na kitu cha uhakika na hakuna mwenye uhakika lakini media ya hapa states sasa wako all over hii kitu.
Massive boa constrictor-like Titanoboa measured up to 45 feet long
Jason Bourque
The extinct giant snake, called Titanoboa (shown in an artist's reconstruction), would have sent even Hollywood's...
Antivirus software and a firewall alone can't guarantee your safety
Do you know how to guard against scareware? How about Trojan horse text messages? Or social network data harvesting...
naombeni ufafanuzi wa kina wa hizi terminology ,hata kam ni kiswahili
H:\>IPCONGI /ALL
'IPCONGI' is not recognized as an internal or external command,
operable program or batch file...
Nimeangalia kwa karibu website za media organisations za Tanzania, pattern inayojitokeza ni kwamba pamoja na kuwa na poor editorial content, lakini pia kuna kila dalili za shody designs na dodgy...
Avast 5.0 V/S AVG 9.0
Sahau kuhusu Autorun ambayo ilikuwa inasumbua watu wengi sana mpaka kufikia hatua ya kuogopa kutumia bidhaa hii ukijumlisha muonekano mpya na wakipekee kabisa hiyo ni...
Wadau wamenitumia mail hii nikawa curious kuona kama wamebadilisha nika fungua na kukuta in ile ile page ya yahoo ya kuingilia kufungua mail nilipotazama web adress nikakuta ni...
How to patch without running WGA validation? Follow the following steps:
Step 1: Install and activate XP. For XP SP2 only (not XP SP3), you must also download and install the patch described in...