LINKI ZA NJE
Ndugu zangu kumetokea baadhi ya wanachama wenzetu kwenye majukwaa haya kutoa linki za nje kwenda kwenye baadhi ya tovuti ambazo sio salama matokeo yake ni kwa wale wasiojua...
I have a notebook acer aspire 1800. I have a problem. When i connect the a/c cord the notebook start to beeps. and flash the light. Could someone help me.?
Hellow wana jamii
Polen na majukumu
Nina Laptop HP Pavilion dv2000 but ukienda kwenye system Infomation imeandikwa HP Pavilion dv2700 na kwenye iliyobandikwa karibu na sehemu ya mouse ni HP...
Wakuu JF Nawauiiza Swali ipi ni bora kati ya hizi Tatu WINDOWS XP WINDOWS VISTA na WINDOWS 7? Na kwanini imekuwa Bora zaidi ya nyingine? Towa ufafanuzi tafadhali.
Mimi natumia PC ambayo tunashare na mwenzangu, sasa nina login kwenye forum kama jamii, baadae inabakiza kumbukumbu kuwa nguvumali alilogin, sasa inanikera sana.
naleta kwenu wanatechnolia ya...
Habari wakuu, naingia tena jamvini kwani nilipotea kwa muda kwani huyu provider wangu some times analeta kasheshe. Swali langu sijui kama kichwa cha habari hapo juu nimekiandika sawa...
Zantel wameondoa huduma ya GPRS kuunganisha kwenye computer, ni wiki ya pili sasa najaribu kutumia simu yangu kuunganisha internet kwenye laptop yangu bila mafanikio yoyote.
Kila nikiunganisha...
kwa mtu mwenye ufahamu atueleze jinsi unavyoweza kununua vifaa kupitia hiyo minada kwa mtu anayeishi bongo na ana hela ya madafu na pia Paypal inatumika vipi kwa hapa bongo,muelewa atuelezee,shukrani
I would like to repair my faulty blackberry handset. Whoever is well acquainted with this skill, please PM or reply the thread so that everybody can get in touch with you in future. Upon...
Wadau habari za kazi,naomba msaada wenu nimekwama kumalizia installation ya operating system ya windows XP service pack 2 ni laptop ya Hp compaq nx9010 baada ya kucopy files inaleta message ya...
TTCL wana bundle yao mpya ya 256Kbps up/down unlimited broadband services, wanachaji shs 54,000/= kwa mwezi (VAT inclusive).
Kwa ambao wameshaitumia, what is the experience so far? Speed ikoje...
Jaman Wana Jf
Naombeni Msaada wenu mwenye kujua Configuration za VPN Katika Cisco Router(1814)
Step by Step command maana kwenye cisco mimi sio mzuri sana najua kidogo.
Habari yenu wana jf.Mimi na miezi michache tangu ninunue compyuta yangu,wakati nanunua nilikuta nimewekewa antivirus(mccafee),ambayo ilikuwa inahitaji kuwa updated,lakini mimi nika uninstall ili...
I have an HP Pavilion dv6700 Entertainment Notebook, running Windows Vista. Recently, it has begun stalk/hanging and the monitor become white with lots black dots, and fail to restart by clicking...
While Windows is a versatile and powerful operating system, there are times that it can be frustrating. This frustration is particularly evident when you install a new software application or add...
It's always fun to write about research that you can actually try out for yourself.
Try this: Take a photo and upload it to Facebook, then after a day or so, note what the URL to the picture is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.