Ndugu wataalam,mimi natumia laptop dell latitude d600,laptop yangu hii usb port zake zote hazifanyi kazi,inashindwa kudetect usb device.Tatizo lilianza pale nimlipo connect motorola l6 kwenye port...
Hp Probook 4510s with windows 7
i have tried every way can think of & i can not find he webcam. YES it does have a webcam but i cant find a way to access it. Please help
nimenunu moderm ya tigo, napata 3G signals, lakini nashanga kwa nini uploading & downloading speed sio nzuri?
yani speed huwa inavary 80kbps-378kbps. Please help me, its urgence!
Tokea jana providers wanaotumia seacom hasa hasa internet ya Airtel wako chali, almost hamna kitu, leo wamenitumia meseji kuwa link imesharekebishwa, lakini so far bado hakuna kitu.
Mlio karibu...
Ni muda sasa naamini hapa Jukwaani ni kisima na msaada tosha kwa mambo mbalimbali. Wadau, nilinunua redio ya SONY model no. HCD-GNZ55D miaka 2 iliyopita. Redio hi imepata tatizo la power. Umeme...
wataalam wa photoshop.
Kuna image nataka nizichakachue ili header ya webpage nayotengeza iwe tofauti
Image yenyewe nayotaka kuchakachua ni hii hapa
Hii ni image ya header kwenye...
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA
Dakika za bure;message 100 na MB200
kuangalia dk bonyeza *102*05# ok;
kuangalia message bonyeza *102*15#;
kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok.
Offer...
Salama wakuu? Tatizo lang ni moja tu,nahitaji kuinstall softwares za windows kwenye linux. Nilishauriwa nitumie ki2 inaitwa crossover au wine lakn naona hazikubali.
Jamani naomba msaada kama kuna namna nyingine ya kui play you tube mara ninapoifungua huwa inaplay kidogo kisha inaonekana ikiendelea kuserch kuja ikaplay bila kusitasita ni hadi ifike mwisho sasa...
Ninatafuta graphic designer wa kujitegemea ambaye anaweza ku design signage, brochures(A4), posters (A2), Fliers (A5), na T-shirt. Nitumie ujumbe kuhusu gharama zako.
Heshima mbele wakuu, hii kitu sijaisajili,na muda a majaribio kwishnei; tafadhali naomba key za kuniwezesha kusajili hii kitu ili niweze kuendeleea na kazi! MS OFFICE 2007!
Shukrani mbele.
Kwa anayejua trend nzma ya cisco ansaidie. Kwanza nahtaj kujua gharama ya pepa zao, pili ni lazma kuwa na review center .? Tatu mitihan yao huwa inafanyika kpnd gan cha mwaka, na mwisho ni kituo...
Mimi nipo Kondoa natumia moderm ya zain (USB stick) hatupati mtandao wa internet kama miji mingine. ninapokwenda Dodoma au Arusha napata 3G rangi ya bluu.