The government has reiterated its stance to spread information and communication technology (ICT) in rural areas so that rural dwellers may access communication services at affordable rates...
habari zenu jamani,modem ni mpya nimeistall lakini nikini nikifungua net inasema ni activate kwa product code and enter pin. sasa sijui producy key ni zipi na pin ni hipi. Maoba msaada
Habari ndugu zangu wanaJF,Jamani naomba msaada kwa ma-expert wa masuala ya computer juu ya nini cha kufanya kwa computer yangu,maana ninashindwa ku-access internet kupitia internet explorer na...
kampuni kubwa duniani ya kutengeneza computer aina ya HP. Hapo jana wamefanya mazungumzo na rais wa Tanzania Dkt. Jakaya kikwete baada ya mkutano wa World Economic Forum hapo jana.
Tusubiri...
EBANA KUNA PC AMBAYO NIMELETEWA ILI NIIPIGE WINDOW NYINGINE. BUT KILA NIKIJARIBU KUIPIGA WINDOW, INAANZA VIZURI MPAKA KWENYE HATUA YA "to install a fresh copy of window now press ENTER"...
PLEASE NAITAJI MNIKWAMUE KWA HILI NAHITAJI SOFTWARE INAITWA SMART SYNC,
ni kwa ajili ya kufanyia buckup kwenye mashine yangu kwenda server ni. please na kama kuna mtu anayosoft ware engine...
Salaam zenu wana JF.Mi nna laptop ya compaq na external webcam ya touchmate.tatizo ni kwamba nikiwasha webcam sioni kitu chochote kwa sbb window yake ni giza tupu.nawezaje kuiseti vizuri...
Wataalamu wa Teknohama, naombeni msaada wenu katika VB 6.0, ninataka kudevelop program flani hivi.
Sasa nataka mnisaidie codes za kwenye Login Form, kwa kutumia maelezo yafuatayo:-
1. Nina...
Nimemalaiza shahada yangu ya ICT , kwa sasa nataka nijendeleze zaidi kwenye prof. courses, natamani niwe na OCP kwa kuanzia, nimesoma na ninaelewa oracle 10g Administration part huko kenya...
Wakuu naomba msaade kwa haya yafuatayo
1. Wakati na access mtandao wa Jamii forums bahati mbaya bila kujua nilipunguza size ya maandishi na window. Leo tena nikiwa facebook nimefanya hivo bila...
Wakubwa kamera yangu aina hiyo imeharibika mechanism ,nilipo ni nje ya Dar,mafundi wa hapa wanasema inahitajika mechanism mpya,naweza kuipata wapi.
Aina ya Kamera ni kama hii
nilikuwa natafuta msaada wa itune , nilikuwa na itunes , mara siku moja ikawa imefuta miziki yote kwene library, ikawa haifanyi kazi tena , nika down load mpya , lakini kuinstall, ikakataa ina...
Jamani mimi toka nimeijua kompyuta kuitumia sasa ninakama miaka 5 hivi, na windows xp ndio os niliyoijua kwanza na juzi juzi tu ndio nimeupgrade kwenda windows 7
mahali pote nilipo kwenda mimi...
Habari wakuu?
mimi ni mteja wa tigo kwa huduma ya internet, nimetumia huduma yao kwa takriba miezi miwili bila shida yoyote.....Toka jana nimekuwa napata usumbufu mkubwa mno wa net...