Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wajamii naomba msaada wa activation key ya office 2010 professional plus ,rtm english...32bit.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The government has reiterated its stance to spread information and communication technology (ICT) in rural areas so that rural dwellers may access communication services at affordable rates...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu nimechukua adobe kweny pc yangu hm nikaenda kuinstall kweny pcs za kazi,imekubali pc 1 tu.zingine pc zinatoa errors numbers.adobe 9. Msaada wakuu
0 Reactions
1 Replies
994 Views
jamani kuna wabongo ambao wananunua vitu kutoka amazon.com.? naomba experience zao..mmi nasita kdgo coz sijawahi kununua vitu online
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba mnisaidie hiyo driver ya printer hp laser 1200
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu jamani,modem ni mpya nimeistall lakini nikini nikifungua net inasema ni activate kwa product code and enter pin. sasa sijui producy key ni zipi na pin ni hipi. Maoba msaada
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu wanaJF,Jamani naomba msaada kwa ma-expert wa masuala ya computer juu ya nini cha kufanya kwa computer yangu,maana ninashindwa ku-access internet kupitia internet explorer na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kampuni kubwa duniani ya kutengeneza computer aina ya HP. Hapo jana wamefanya mazungumzo na rais wa Tanzania Dkt. Jakaya kikwete baada ya mkutano wa World Economic Forum hapo jana. Tusubiri...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
EBANA KUNA PC AMBAYO NIMELETEWA ILI NIIPIGE WINDOW NYINGINE. BUT KILA NIKIJARIBU KUIPIGA WINDOW, INAANZA VIZURI MPAKA KWENYE HATUA YA "to install a fresh copy of window now press ENTER"...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
PLEASE NAITAJI MNIKWAMUE KWA HILI NAHITAJI SOFTWARE INAITWA SMART SYNC, ni kwa ajili ya kufanyia buckup kwenye mashine yangu kwenda server ni. please na kama kuna mtu anayosoft ware engine...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam zenu wana JF.Mi nna laptop ya compaq na external webcam ya touchmate.tatizo ni kwamba nikiwasha webcam sioni kitu chochote kwa sbb window yake ni giza tupu.nawezaje kuiseti vizuri...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalamu wa Teknohama, naombeni msaada wenu katika VB 6.0, ninataka kudevelop program flani hivi. Sasa nataka mnisaidie codes za kwenye Login Form, kwa kutumia maelezo yafuatayo:- 1. Nina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimemalaiza shahada yangu ya ICT , kwa sasa nataka nijendeleze zaidi kwenye prof. courses, natamani niwe na OCP kwa kuanzia, nimesoma na ninaelewa oracle 10g Administration part huko kenya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaade kwa haya yafuatayo 1. Wakati na access mtandao wa Jamii forums bahati mbaya bila kujua nilipunguza size ya maandishi na window. Leo tena nikiwa facebook nimefanya hivo bila...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakubwa kamera yangu aina hiyo imeharibika mechanism ,nilipo ni nje ya Dar,mafundi wa hapa wanasema inahitajika mechanism mpya,naweza kuipata wapi. Aina ya Kamera ni kama hii
0 Reactions
2 Replies
2K Views
computa mpya,nimetumiwa computa mpya naiwasha inaandika maneno yafuatayo nifanyeje?non system disk error,replace and stike any key when ready
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nilikuwa natafuta msaada wa itune , nilikuwa na itunes , mara siku moja ikawa imefuta miziki yote kwene library, ikawa haifanyi kazi tena , nika down load mpya , lakini kuinstall, ikakataa ina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mimi toka nimeijua kompyuta kuitumia sasa ninakama miaka 5 hivi, na windows xp ndio os niliyoijua kwanza na juzi juzi tu ndio nimeupgrade kwenda windows 7 mahali pote nilipo kwenda mimi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakuu? mimi ni mteja wa tigo kwa huduma ya internet, nimetumia huduma yao kwa takriba miezi miwili bila shida yoyote.....Toka jana nimekuwa napata usumbufu mkubwa mno wa net...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta hii simu ya mtumba,kama kuna mdau tufanye business
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…