Need Help in VB 6.0

Retreat

JF-Expert Member
Dec 14, 2010
229
70
Wataalamu wa Teknohama, naombeni msaada wenu katika VB 6.0, ninataka kudevelop program flani hivi.

Sasa nataka mnisaidie codes za kwenye Login Form, kwa kutumia maelezo yafuatayo:-

1. Nina user kama 50 hivi watakao tumia hii program, nataka waweze ku-log in kila mtu kwa kutumia User Name yake na Password yake tofauti na mwingine.

2. Hivyo nahitaji msaada wa ku-link database yenye majina ya hao User 50 na Login in form ya kwenye VB 6.0. Database inaweza kuwa Access au SQL yoyote ile. Ikiwa SQL itakuwa poa zaidi.

Kwa yoyote mwenye idea, please pass that idea to me.


Na attach picha ya Sample Login Form yagu kwa more details.


Asanteni sana.
 

Attachments

  • Login.JPG
    Login.JPG
    50.2 KB · Views: 40
kiufupi mtu akufanyie hio login au sio? vb6? kwanini usitumie vb .net nadhani inakubali OOP, so itakuwa rahisi. [Ingawa zote kwangu mimi zinasuck!!]
 
redSilverDog, nimeomba kwenye VB6 kwa kuwa ndio nipo nayo familiar na ndio nimeinstall kwenye mashine yangu kwa sasa. Kwani VB6 haitakubali OOP?

Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.
 
Wataalamu wa Teknohama, naombeni msaada wenu katika VB 6.0, ninataka kudevelop program flani hivi.

Sasa nataka mnisaidie codes za kwenye Login Form, kwa kutumia maelezo yafuatayo:-

1. Nina user kama 50 hivi watakao tumia hii program, nataka waweze ku-log in kila mtu kwa kutumia User Name yake na Password yake tofauti na mwingine.

2. Hivyo nahitaji msaada wa ku-link database yenye majina ya hao User 50 na Login in form ya kwenye VB 6.0. Database inaweza kuwa Access au SQL yoyote ile. Ikiwa SQL itakuwa poa zaidi.

Kwa yoyote mwenye idea, please pass that idea to me.


Na attach picha ya Sample Login Form yagu kwa more details.


Asanteni sana.

Sijafanya mazoezi siu nyingi na VB laini ukiinstall VIsual Studio au alivyosema RedSilve VB.net tayari ina utilities za kukuwezesha kufanya hazo kirahisi. Hata code na inteface za login zipo tayari amabzo unaweza kuzicutomize. hivyo kazi yako inakuwa rahisi

Nenda youtube pia kuna jamaa wana visual tutorial nzuri
Mfano
Creating Database. and ADO.net


Nyingine ni


na


So kifupi

  • kwanza tengeneza Database yako yenye table na fields zitakazohifadhi username na password
  • Ungaisha Visual studio VB na data source ie SqlConnection
  • Tengeneza au customise form ya kulogin ili ilinganishe data anazoingiza user na zile zilizoko kwenye database.. hapa utahitaji kuadd code wenye form ili user aikingiiza user name na password ziw verified na valdated kwenye database. Ukigoogle unaweza kupata code amabazo unaweza kutumia lakini Visual studio ina code amabayo ni simple
NB:
Mlololongo wa maelezo yangu si mzuri lakini unaweza kukupa picha nini unatakiwa kufanya.
 
Last edited by a moderator:
redSilverDog, nimeomba kwenye VB6 kwa kuwa ndio nipo nayo familiar na ndio nimeinstall kwenye mashine yangu kwa sasa. Kwani VB6 haitakubali OOP?

Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.

Ila usibaki na VB6 sasa, (ji-update!) utakuja jikuta useless...
 
Back
Top Bottom