Jamani mimi toka nimeijua kompyuta kuitumia sasa ninakama miaka 5 hivi, na windows xp ndio os niliyoijua kwanza na juzi juzi tu ndio nimeupgrade kwenda windows 7
mahali pote nilipo kwenda mimi hapa bongo nilikuta wanatumia windows kama os, iwe maofisini au kwenye cafe.
Lakini kuna os zingine nazisikia sana humu, binafsi zijawahi kuziona, os kama ubuntu, mac nk ambazo wadau wanazipigia debe kuwa ni nzuri na bure kabisa na kushauri kwanini gvt isitumie maofisini na kuachana na os za windows zinazo icost nchi,
Nisicho jua mimi kuhusu hizi os zingine ni je software za kwenye windows haziwezi kutumika katika os ya lets say ubuntu nk?
inamaana ubuntu wanakuwa na office yao, idm,firefox,opera,tally, games,powerDvD and whatever u can mention it.
au kuna baadhi ya software zinaingiliana?
je hizo os zingine zinanafasi gani kwa wenzetu maana hapa bongo bado ni msamiati kwa wengi,namaanisha zina compete vipi na windows au zinachukuliwa kama basi tu, ratio ikoje kwa user, windows vs others.
Maana pc nyingi zinazokuja mpya zinakuwa shipped au na windows xp,vista au 7..nasikia na mac au zipo na za ubuntu,
nawasilisha
mahali pote nilipo kwenda mimi hapa bongo nilikuta wanatumia windows kama os, iwe maofisini au kwenye cafe.
Lakini kuna os zingine nazisikia sana humu, binafsi zijawahi kuziona, os kama ubuntu, mac nk ambazo wadau wanazipigia debe kuwa ni nzuri na bure kabisa na kushauri kwanini gvt isitumie maofisini na kuachana na os za windows zinazo icost nchi,
Nisicho jua mimi kuhusu hizi os zingine ni je software za kwenye windows haziwezi kutumika katika os ya lets say ubuntu nk?
inamaana ubuntu wanakuwa na office yao, idm,firefox,opera,tally, games,powerDvD and whatever u can mention it.
au kuna baadhi ya software zinaingiliana?
je hizo os zingine zinanafasi gani kwa wenzetu maana hapa bongo bado ni msamiati kwa wengi,namaanisha zina compete vipi na windows au zinachukuliwa kama basi tu, ratio ikoje kwa user, windows vs others.
Maana pc nyingi zinazokuja mpya zinakuwa shipped au na windows xp,vista au 7..nasikia na mac au zipo na za ubuntu,
nawasilisha