OCP oracle 10g examination

Firdous

Member
Apr 27, 2009
42
4
Nimemalaiza shahada yangu ya ICT , kwa sasa nataka nijendeleze zaidi kwenye prof. courses, natamani niwe na OCP kwa kuanzia, nimesoma na ninaelewa oracle 10g Administration part huko kenya.

Nataka nifanye mitihani ya OCP hapa TZ, ni chuo gani ambacho kinasifika kwa kutoa elimu nzuri na ninaweza kufanya mitihani hiyo

Vipi inawezekana kufanya kwa muda wa wiki moja nikawa nimemaliza mitihani yote mitatu

Kwa wanaojua naomba msaada wenu tafadhali.
 
Nimemalaiza shahada yangu ya ICT , kwa sasa nataka nijendeleze zaidi kwenye prof. courses, natamani niwe na OCP kwa kuanzia, nimesoma na ninaelewa oracle 10g Administration part huko kenya.

Nataka nifanye mitihani ya OCP hapa TZ, ni chuo gani ambacho kinasifika kwa kutoa elimu nzuri na ninaweza kufanya mitihani hiyo

Vipi inawezekana kufanya kwa muda wa wiki moja nikawa nimemaliza mitihani yote mitatu

Kwa wanaojua naomba msaada wenu tafadhali.

Ebu m-pm shy au nenda kaweke swali lako Afro it forum.sasa kama ulisoma kenye kwanini na paper hukufanya huko huko?
 
Mkuu

Niligundua kuwa hicho chuo kumbe hakitambuliki na Oracle university. na pia muda wangu wa kurudi nyumbai ulikuwa umeshawadia . kabla sijajitayarisha na mitihani hiyo. Ila kwa sasa nahisi naweza kufanya kwani nimeshajitayarisha vya kutosha
 
Mkuu

Niligundua kuwa hicho chuo kumbe hakitambuliki na Oracle university. na pia muda wangu wa kurudi nyumbai ulikuwa umeshawadia . kabla sijajitayarisha na mitihani hiyo. Ila kwa sasa nahisi naweza kufanya kwani nimeshajitayarisha vya kutosha
Bado wataka kufanya hizi paper arifu?
 
utakapofanyia paper hamna haja ya kuchagua sana kwani paper zinatoka huko oracle, nakushauri kama nikufanya paper nenda pale aptech utafanya fresh ila make sure uko fit
 
Nimemalaiza shahada yangu ya ICT , kwa sasa nataka nijendeleze zaidi kwenye prof. courses, natamani niwe na OCP kwa kuanzia, nimesoma na ninaelewa oracle 10g Administration part huko kenya.

Nataka nifanye mitihani ya OCP hapa TZ, ni chuo gani ambacho kinasifika kwa kutoa elimu nzuri na ninaweza kufanya mitihani hiyo

Vipi inawezekana kufanya kwa muda wa wiki moja nikawa nimemaliza mitihani yote mitatu

Kwa wanaojua naomba msaada wenu tafadhali.

Mkuu tupo pamoja na mimi nataka kufanya hiyo mitihani lakini sijui nianzie wapi
 
Back
Top Bottom