Nimemalaiza shahada yangu ya ICT , kwa sasa nataka nijendeleze zaidi kwenye prof. courses, natamani niwe na OCP kwa kuanzia, nimesoma na ninaelewa oracle 10g Administration part huko kenya.
Nataka nifanye mitihani ya OCP hapa TZ, ni chuo gani ambacho kinasifika kwa kutoa elimu nzuri na ninaweza kufanya mitihani hiyo
Vipi inawezekana kufanya kwa muda wa wiki moja nikawa nimemaliza mitihani yote mitatu
Kwa wanaojua naomba msaada wenu tafadhali.
Nataka nifanye mitihani ya OCP hapa TZ, ni chuo gani ambacho kinasifika kwa kutoa elimu nzuri na ninaweza kufanya mitihani hiyo
Vipi inawezekana kufanya kwa muda wa wiki moja nikawa nimemaliza mitihani yote mitatu
Kwa wanaojua naomba msaada wenu tafadhali.