Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Natumia notron antivirus ktk computer but two weeks ago imejiturn off, and it always alerting "your norton antivirus turned off." Wadau naomba mnisaidie jinsi ya kuturn on
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wenu tafadhari natafuta watu wanaofundisha MYOB accounting package na pia wanaweza kutoa support kwenye kampuni. Ahsante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa upande wangu nimeamua kuwapongea Airtel kwa kuifanyia marekebisho mitambo yao.Kwani nilikuwa sipati kabisa UMTS ilikuwa EDGE tu.Siku za nyuma nikichagua UMTS ilikuwa haikamati mawimbi ila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu wajamvi, Nawasalimuni nyote. leo Naomba mchango wenu katika hili, ukiwa na window vista katika computer yako isiyo genuine,... je kuna namna yeyote naweza kuifanya ikawa genuine?? msaada pliz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
IBM yafungua ofisi Tanzania na Irene Mark KAMPUNI ya IBM imefungua tawi lake jijini Dar es Salaam ili kurahisisha upatikanaji wa huduma zake barani Afrika na Dunia nzima. Akizungumza na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
NI BEI RAHISI 160km/charge 2010 august magari 100,000 yalipelekwa, miezi minne baadaye 70,000 yalikwisha kuuzwa soma mwenyewe hapa Better Place - Wikipedia, the free encyclopedia
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Nahitaji driver download link ya web cam,Dell inspiron 4010,yeyote anayeweza kusaidia.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba msaada nina hii kitu ilipata virus nika format sasa natafuta software yake nimejaribu kuangalia ktk website yao hakuna software kuna yoyote anaejua jinsi ya kupata hii software na...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, nawaombeni msaada wenu kwa mara nyingine tena. Laptop yangu imekuwa ikileta shida tangu nilipoi-formart miezi miwili iliyopita. Tatizo lillilopo kwa sasa ni la desktop icons hasa shortcuts...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu? kuna tatizo ambalo huwa nalipata ninapo play movies ambazo nimedownload kwenye internet kuna message huwa inakuja inasema! The file you are attempting to play has ana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau wa jukwaa habari Nimepata simu ya HTC herm200 na nahitaji kuiunganisha na computer yangu lakini nikiichomeka na usb cable haionekani.Lakini nimesikia kuna software lazima uinstall kwanza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Yeyote anayeweza kunisaidia Dell inspiron cam drve download link pleas..
0 Reactions
0 Replies
908 Views
jamani tujue kuwa kwa tanzania ukitoka tu nje ya DAR basi hakuna spidi ya maana ya internet. zote zinakuwa ni EDGE tu , sio 3G tena. labda kwa zantel nao wao hawapo sehemu nyingi kwa sasa. mie...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
youtube.com/watch?desktop_uri=http%3A%2F%2Fwww.youtube.com%2Fwatch%3Fv%3Dwo4anqp39z4&v=wo4anqp39z4&gl=US Brand new interface!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu Kuna files na folders zinakuwa na maneni yana rangi ya blue lakini sijayaweka kuwa hivyo inaweza kuwa ni nini? na jinsi ya kuyarekebisha?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
eti unapo install win xp kwenye laptop iliyoandikwa designed for windows vista au 7 hua ina miss audio na vga. hua nn??
0 Reactions
5 Replies
1K Views
JAMANI WATAALAM WA VYOMBO VYA KITEKNOLOJIA NAOMBA KUULIZA ETI HP PRINTER YENYE UWEZO WA KUPRINT,KUPIGA PHOTOCOPY,NA KUSCANI NI IMARA KWA MATUMIZI YA KILA SIKU?KWA KUWA HAPA NI KWA WATAALAM WA...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Modem yangu inakataa kuconnect net nijaribu njia zote nimeshindwa inaniambia kuna software inazuia kwenye my laptop bt kwenye laptop nyingine inapiga mzigo kama kawaida'wakuu kama mtu anaweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salama wakuu? shida yangu ni moja kama inavojieleza hapo juu. tatizo ni kwamba hizi modem hazijaandikwa imei(ni version ya zamani kidogo) so dzain kama kuna S/N peke yake kwaiyo na kwama katika...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…