Nadhani ni mambo ya drivers tu. Lakini mbona drivers zimejaa duniani tena mtandaoni? Usiogope mkuu weka tu hiyo xp na ukidaiwa drivers hizo za sauti kama huna CD yake tafuta online utapata tu bwana.eti unapo install win xp kwenye laptop iliyoandikwa designed for windows vista au 7 hua ina miss audio na vga. hua nn??
eti unapo install win xp kwenye laptop iliyoandikwa designed for windows vista au 7 hua ina miss audio na vga. hua nn??