Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 491
- 180
hujaspecify vzuri,A u looking for software ama fimware(like Os)?je kwa sasa hv hiyo device iko vp hali yake?like inawaka ama lah,or inawaka lakini haitoi sound..etc
ohky.did u try kuweka tena qur an?ama since ulivyonunua zilikuwepo tayari?je ulikuwa unaweza ku add new ones ama not?did u try to connect it in a pc?
umeiformat kwa njia gani? ume connect na pc ndio umeformat au via device itself? lazima tujue inatumia operating system gani ili tuweze kusema kitu.
baada ya kuona imegoma kufanya kazi nika conect na pc nika scan virus nikakuta kuna virus nika clean bado ikagoma ndio nikaformat kwa kujua nikiweka ma file mengine ya qur-an itafanya kazi kumbe sivyo kila nikiwasha inasema data not found inaonekana kuna software au operating system inayo hitajika ambayo ina kila kitu ndani