Digital Quran IQ634 ENMAC

Digital Quran IQ634 ENMAC

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2010
Posts
491
Reaction score
180
wadau naomba msaada nina hii kitu ilipata virus nika format sasa natafuta software yake nimejaribu kuangalia ktk website yao hakuna software kuna yoyote anaejua jinsi ya kupata hii software na jinsi ya kuinstall ? natanguliza shukran

resize.jpg
 
hujaspecify vzuri,A u looking for software ama fimware(like Os)?je kwa sasa hv hiyo device iko vp hali yake?like inawaka ama lah,or inawaka lakini haitoi sound..etc
 
hujaspecify vzuri,A u looking for software ama fimware(like Os)?je kwa sasa hv hiyo device iko vp hali yake?like inawaka ama lah,or inawaka lakini haitoi sound..etc



hii divice inawaka inapowaka ina andika data not found ilipopata virus nili format sasa sijajua tatizo ni fimware au software
 
ohky.did u try kuweka tena qur an?ama since ulivyonunua zilikuwepo tayari?je ulikuwa unaweza ku add new ones ama not?did u try to connect it in a pc?
 
ohky.did u try kuweka tena qur an?ama since ulivyonunua zilikuwepo tayari?je ulikuwa unaweza ku add new ones ama not?did u try to connect it in a pc?

tokea nilivyo nunua zilikuwepo niki conect na pc in detect naona storage empty
 
umeiformat kwa njia gani? ume connect na pc ndio umeformat au via device itself? lazima tujue inatumia operating system gani ili tuweze kusema kitu.
 
umeiformat kwa njia gani? ume connect na pc ndio umeformat au via device itself? lazima tujue inatumia operating system gani ili tuweze kusema kitu.

baada ya kuona imegoma kufanya kazi nika conect na pc nika scan virus nikakuta kuna virus nika clean bado ikagoma ndio nikaformat kwa kujua nikiweka ma file mengine ya qur-an itafanya kazi kumbe sivyo kila nikiwasha inasema data not found inaonekana kuna software au operating system inayo hitajika ambayo ina kila kitu ndani
 
baada ya kuona imegoma kufanya kazi nika conect na pc nika scan virus nikakuta kuna virus nika clean bado ikagoma ndio nikaformat kwa kujua nikiweka ma file mengine ya qur-an itafanya kazi kumbe sivyo kila nikiwasha inasema data not found inaonekana kuna software au operating system inayo hitajika ambayo ina kila kitu ndani

Daah! Umeadimika sana Fatma ukisolve tatizo naomba tuwasiliane sijawahi tumia hiyo kitu umenitamanisha sana.
 
Back
Top Bottom