Msaada wakuu na haka kamodem cha vodacom

FredKavishe

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,090
318
Modem yangu inakataa kuconnect net nijaribu njia zote nimeshindwa inaniambia kuna software inazuia kwenye my laptop bt kwenye laptop nyingine inapiga mzigo kama kawaida'wakuu kama mtu anaweza naomba anichakachuliwe nimejaribu na dc locker imeshindika nitashukuru atayetaka kunichakachulia nitakutumia vitu vyote pm
 
tatizo sio kuchakachua hapo. kuna settings fulani zinakosekana tu. sasa kwa nini kwenye komputa nyengine ikubali?
jaribu kuangalia settings za antivirus , au firewall za computer yako na kadhalik,,,,,,,,,,,,,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom