FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Modem yangu inakataa kuconnect net nijaribu njia zote nimeshindwa inaniambia kuna software inazuia kwenye my laptop bt kwenye laptop nyingine inapiga mzigo kama kawaida'wakuu kama mtu anaweza naomba anichakachuliwe nimejaribu na dc locker imeshindika nitashukuru atayetaka kunichakachulia nitakutumia vitu vyote pm