jamani kumbe raha ya tigo ni...

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,315
13,282
kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona hivyo jamaani!na sisi tunataka utamu huo.
 
Back
Top Bottom