white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,315
- 13,282
kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona hivyo jamaani!na sisi tunataka utamu huo.