Msaada waku unlock huawei modem ec226 ya zantel

Msaada waku unlock huawei modem ec226 ya zantel

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,139
Salama wakuu? shida yangu ni moja kama inavojieleza hapo juu. tatizo ni kwamba hizi modem hazijaandikwa imei(ni version ya zamani kidogo) so dzain kama kuna S/N peke yake kwaiyo na kwama katika swala zima lakuchakachua. naomba msaaada wenu wakuu. ni hayo tu
 
Ungeshapitia thread zilizopita usingeuliza swali hili maana linaulizwa kila siku.
Kwa ufupi hizi modem za CDMA type usijisumbue kuchakachua, hutaweza! dunia nzima bado hackers wanajaribu kulifanyia kazi lakini hawajaweza!
 
hiyo modem yako kwa vile ni ya Zantel basi ni ya CDMA. huwezi kuitumia kwa tigo , airtel wala voda, kama unataka kuitumia kwa ttcl na kama SIM card yake siyo embeded (kubandikwa humo humo bila kuonekana) na ina weza kuingia sim card basi ttcl wanafanya hivyo kwa TSH 1500 , i mean buku jero.
kama haitumii sim card basi ndio haiwezekani
 
Back
Top Bottom