donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Salama wakuu? shida yangu ni moja kama inavojieleza hapo juu. tatizo ni kwamba hizi modem hazijaandikwa imei(ni version ya zamani kidogo) so dzain kama kuna S/N peke yake kwaiyo na kwama katika swala zima lakuchakachua. naomba msaaada wenu wakuu. ni hayo tu