Wakuu, nimepoteza handset yangu ya Blackberry, ipo namna yoyote ya kuitambua au kuifunga kabisa ili jamaa aliyeipata asiwe na manufaa nayo?. Providers wangu wanasema wao wananaweza kufunga sim...
simu yangu ni Nokia N95 8gb. Toka juzi najaribu kujiunga na ofa ya Dstv kupitia Vodacom ya kuona matangazo ya bure ya TV lakini kila ninapojaribu kujiunga napata maelezo ya 'Not enough Bandwidth'...
Viongozi naomba msaada wenu wa kupata drivers kwa ajili ya "HIGH SPEED EDGE/GPRS MODEM maximum transmitting speed 460.8 KBps". Nimejaribu bila mafanikio kui-google.
Kat Hannaford - Antisec, the marriage between similar-hearted outlaws at Anonymous and LulzSec, hit several companies-and police squads!-websites since...
Haya tena kwa wale wanaopenda Laptop au Desktop zao ziwe na Macintosh kama mimi haya njia ya Ku i Format Computer yako hii hapa chini
How to Install Mac OS X on a PC (Without Using a Mac)...
Nina nokia e50, na nlikuwa nataka update version ya os yake. Nmejarib kila njia ikiwamo ktk site yao ya nokia lakn nmeshndwa. Kwa yeyote anaejua jns ya kuupdate aniguide plz.
kwa popote pale ambapo hupati jamiiforum na mitandao mingine ya kijamii kama youtube facebook nikimaanisha baadhi ya nchi wamezuia tumia hii software natumai itakusaidia najua mtauliza kwanini...
msaada mwenye uwezo wa unlock codes tv
mfano satellite tv 36.0e kuna chanel zilizo fungwa kwenye BISS na NAGRAVISION na betacraypt inasemekana uwezekano upo wa kuzifunguwa
Kuna-cryptoworks...
ni kama cku 4 zmepita niliomba msaada jinsi ya ku hack simu yangu, nilifungua ile link ikafunguka nilipodownload kama zip ikagoma sasa nikaenda kwenye direct link nilipotaka kudownload ikasema...
Nimefurahi na hiyo shule wataalam mnayotuletea! naomba mnijulishe pia nawezaje kufanya partition ya laptop yangu...ina system C tu 250GB (150 free space/unused) haina partition na kama kuna...
Kila mtu anajua namna virus vya kompyuta vinavyogharimu muda na pesa pindi vinaposhambulia kompyuta ambayo umeifadhi kumbukumbu zako muhimu. Na pia mnajua jinsi wamilikiwa hizi anti virus...
Wed like to bring the nuance and richness of real-life sharing to software, Gundotra said. We want to make Google better by including you, your relationships, and your interests.
Google+...
Wakuu hii flash yangu ina 8gb nimejaribu kuiformat kwa njia za cmd na njia ya kawaida haitaki kabisa ikifika mwisho inaandika format did not complete any help pls.
Ok ni kwamba hapo kabla ilishatangazwa kwamba kuna hacker aliingia JF na visitor message hii hapa:
Hello,
My greeting to you My name is Shania, single and never married, how are you i hope you...
WANAJAMII NINA SIMU YA SONY ERICSSON XPERIA ARC, NILICHEZEA PASSWORD MARA NYINGI SASA IMEBLOCK INATAKA username na password, username nimeweka ila password inanigomea, wakuu kuna namna yoyote...