ndugu zangu mimi ni network na computer technician
nimepata kazi nzuri lakini nilikuwa sija certify ili nipate certificate
naomba kama kuna mtu anaweza saidia hiyo
dunia ndivyo ilivyo
bibliotastic.com - publish and download free ebooks
With the introduction of ebook readers and the ever-increasing numbers of tablet computers,
reading reterature has never been easier. This...
Wakuu Nimejaribu ku Update Windows 7 ili nipate Windows 7 Sevice Park1 napata Erorr kwenye hiyo Update nimejaribu ku Disable Windows FireWall lakini wapi na nimeulizia kwenye Microsoft help...
Niko na idea kidogo sana ya cisco commands na hapa nina router ambayo nataka badili setting zake. Naweza ingia mpk ktk privilage mode bt cwez fanya changes naombeni msaada wenu please.
Got this from eThinkTankTz
Copyright infringement lands technician in the dock
A TECHNICIAN with Sunrise Computers, Msabaha Salu (26), was on Thursday brought to the Kisutu Resident...
naomba yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya kuweza ku-install TTPod {application/software ambayo inaweza ku play lyrics za wimbo unapo play miziki ya kizungu kwenye simu} mi natumia nokia 5320...
Habari wakuu?
Mimi ni mtaalamu kiasi wa computer, nina min laptop ya samsung n220plus ambayo imekufa display yake, nahitaji kuibadilisha, tafadhali naombeni maelezo yenu maana sijawai badilisha...
What Makes a Password Stronger
With concern about hackers, tools for remembering so many codes; no more pet names or 123456.
For all its benefits, the Internet can be a hassle when it comes...
WAKUU MAJUZI HAPA TULIISIFIA SANA INTERNET YA VODACOM YA 30 BOMBA COZ SPEED YAKE ILIKUWA NA KASI SIO KIDOGO KIASI KWAMBA NILIDOWNLOAD ZAIDI YA 100GB NDANI YA MWEZI MMOJA...
naomba yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya kuweza ku-install TTPod {application/software ambayo inaweza ku play lyrics za wimbo unapo play miziki ya kizungu kwenye simu} mi natumia nokia 5320...
Nina nokia E50, nahitaj kudownload facebook chat, ile inayoonyesha walio online,na kuchat bla kurefresh. Nimejaribu nmeshindwa,msaada w link. Nawasilisha.
This Tutorial will show you how to get Firefox running fast
1. Enable pipelining
Browsers are normally very polite, sending a request to a server then waiting for a response before continuing...
Wakuu naomba mniwezekshe kupata call back kwenye cmu yangu ya wimbo wa Hello -Husein machozi ft Maundo Zorro.
Ni wapi wanatua huduma hii?
nimejaribu ku-google kachumbali flavour naona hawako online.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.