luckyperc
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 495
- 46
do u ve only one or u use the same for all x accunts?The day that I am going to forget my password, I guess I will comit suicide..... Guys hivi hamuoni aibu daily kuja na treads za kusahau paswords
Na mimi nilikuwa na mawazo kama yako kabisa! Lakini yamenikuta maana nimesahau password.The day that I am going to forget my password, I guess I will comit suicide..... Guys hivi hamuoni aibu daily kuja na treads za kusahau paswords
Nadhani nabidi uweke username na password za google account iliyo kwenye simu, plus inabidi uwe connected kwenye net.
Ukishindwa hiyo inabidi ufanye hard reset.
Hii itafuta kila kitu.
- Turn the power off.
- Hold the Left(Back) and right(Menu) buttons located beneath the display
- Press and release the Power button
- Follow the on-screen instructions to hard reset your phone