TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Kila mtu anajua namna virus vya kompyuta vinavyogharimu muda na pesa pindi vinaposhambulia kompyuta ambayo umeifadhi kumbukumbu zako muhimu. Na pia mnajua jinsi wamilikiwa hizi anti virus zinazoaminiwa wanavyotunyanyasa kwa kutulazimisha ku update kila siku anti virus zao(pesa inatumika hapo). Sasa wanaJF kwa nini hawa wenzetu (programmers wetu watanzania), wasichukue furusa hii kutengeneza anti virus ya bei nafuu na imara kiulinzi(highly ranked computing security ant virus) za kushindana na Kaspersky,NOD, Bit D, na nyingine kama hizo.
Sitaki kukubali kuwa programmer wetu hawapewi elimu stahiki ya source code=binary or 1,0 language(machine language) ambayo ni msingi wa kuwa programmer mzuri, bali wanajikita kutumia programming language rahisi .
nawasilisha...wanaJF.
Sitaki kukubali kuwa programmer wetu hawapewi elimu stahiki ya source code=binary or 1,0 language(machine language) ambayo ni msingi wa kuwa programmer mzuri, bali wanajikita kutumia programming language rahisi .
nawasilisha...wanaJF.