Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

khabar za sasa wana jf, pc yangu imepoteza vga,yan no games,video zinashakeshake kwel,ni DELL OPTIPLEX 380.natanguliza shukran za dhati.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu naombeni msaada wenu.. tutapoozana kindugu
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Kwa yoyote mwenye version yoyote ya Microsoft Flight Simulator au software nyingine ya aina hii naomba msaada please... Natanguliza shukrani!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wana jamii? Tafadhali mwenye software ya canon photocopy iR2016 anisaidie wandugu. Mimi nipo mtwara na nina hii machine nashindwa kuitumia. natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
5 Replies
6K Views
msaada wa activation keys w7
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilidondosha laptop yangu Dell Inspiron 1525, ikaharibika kioo nikanunulia kingine ila kila mara natakiwa kuadjust mwanga badala ya yenyewe kutoa mwanga wa kutosha hata ukichomeka chaja kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Warning LAPTOP CAN COST YOU LIFE This is very crucial READ IT ALL A well-known family lost their 25 year old son in a fire at home. This is what happened: He graduated with MBA from...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
wakuu na wawezeshaji wote wa JF poleni na kazi na nawatakia kila la kheri na kazi . nina wazo jipya sina uhakika kama litakuwa jipya kwa kila mtu , lakini nitajaribu kulielezea kwa kadri...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Wadau nimejaribu ku download hii software lakini mwisho wa siku inakuja iliyo compatible na windows xp ambayo hai enable "Download this video". Nielekezeni cha kufanya tafadhali
0 Reactions
9 Replies
1K Views
jamani naomba mnisaidie wa jf,hard drive- external yangu inagoma kusoma kwenye komputa,nmejaribu kubadilisha komputa mbalimbali pia imegoma,kuna mtu amenambia kwamba ninaweza kuilicova sasa naomba...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
I need help on how to install & use huawei modem (vodacom & zantel) in ubuntu... Natanguliza shukrani!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Is it possible to install & run windows based softwares in ubuntu? Natanguliza shukrani!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, Nimekuwa nikitumia dell Latitude laptop lakini naona kama ni bei ghali kuliko dell inspiron. Je kuna tofauti gani kama mtumiaji wa kawaida?maana wanasema dell latitude ni business...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, naomba msaada wenu kuhusu uimara wa hyundai trajet hasa kwa mazingira yetu ya Tanzania. Iko kama Toyota Gaia, ina abiria 7 ukiongezea na dereva. Nataka kulinunua wakuu.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
natumia micromedia Dreamweaver,kwa kweli inanisumbua sana naona ni complicated sana je kuna software nyingine ambayo ni easy kidogo kwa mgeni wa hayo mambo kama mimi?
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Jamani wataalamu naombeni msaada.computer yangu ni nzito sana.ni dell gx 270.hdd 160.ram 1gb.processor 3.0.ila haina ant virus.je inaweza kuwa ni tatizo la kufanya mashine kuwa nzito?pia kwa nini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina desktop yangu dell, ninayo kwa muda wa mwaka sasa na haijawahi kunisumbua ila juzi nilimuazima jamaa yangu flash then aliponirudishia niliiiscan na antivirus ninayotumia ya Symantec na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wa kuichakachua modem mpya ya tigo, imekubali kubadili dashboard tu ila firmware imegoma katakata hivyo inakataa line nyingine zote isipokuwa ya tigo tu. Waliofanikiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu ninayo Ipad2 3G ,inatumia line ya Airtel Microsim card. Microsim yenyewe ni simcard ya kawaida ambayo imekatwa kuipunguza,,kwani wao hawana sim card hizi ndogo. Tatizo ni kuwa ipad haina...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Natumia Win7 32bit, nimejaribu kuinstall Visual Fortan 6.5 ila inagoma, nimejaribu kuulizia kwa wadau wangu wa karibu hapa naambiwa Fortran haiwezi kutumika kwenye Win7 labda niinstall WinXP. Pia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…