Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

jamani naomba nataka kununua subaru forester ya 2002 used from japan. i like that car but siijui vema hasa matatizo yake... kwa anayeijua vema naomba anijuze hapa.
1 Reactions
9 Replies
5K Views
:moony: https://www.vodafone.in/documents/pdfs/VF_K3570_New_Dialler.zip :wink1: Hakutakuwa na kuchakachuwa; Ondoa vilango vilivyopita kisha weka kilango hiki. :A S-rap:
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello wajf nilikuwa naomba msaada katika hili ninapofanya installation ya ARC GIS kwenye laptop yangu ambayo ina window ya (WINDOW 7 ULTIMATE) installation inafika sehemu inagoma sasa sijajua ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
html Code zipi ntakazotumia ku display online visitors wa websites nyingine kwenye page ya web yangu
0 Reactions
4 Replies
953 Views
Jaman wadau mimi natafta mtu wa kunifundisha php na java kwa malipo ya kimaskini. Naomba aliye tayari plz anijibu
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Wadau hivi simu za kichina zinatumia os gani maana simu nyingi nikiangalia kwa makini naona os zake ziko sawa utofauti wake ni umbo tu na programs zake pia znafanana. Mimi nahc labda zinatumia os...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
unapigiwa simu na mtu anakwambia amekuta miscall ya namba yako, au mwingine anakuuliza mbona unambeep, na kiukweli wewe hujapiga hiyo namba na wala huijui, na ukiangalia kwenye dialled namba zako...
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Some of The Greatest Movie Mistakes We Found Online
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Natafuta display ya acer extensa 4220 na nishilingingapi?i
0 Reactions
0 Replies
838 Views
ni simu zinazouzwa na Vodashops na zimefungwa network zingine kasoro vodacom tu. Kuitoa kufuli soma hapa.. Vodafone 553 Free Unlock by NCK / NP Code by ZTE Calculator | Win Tech Mobiles usiliwe...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa namna ya ku access interface ya kuingiza keys za channels katika receiver aina ya Gulf Star model 8100. katika receiver za Strong unabofya 8280 na unaipata mara moja na...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
SALAAM WAKUU,natumaini mambo shwary. tatizo langu nina ipod yang ambayo ina run veeeery slowly yan kama ukienda kwenye option ya music ukaselect itabidi usubiri kama 2mins ndo ianze kuplay...
0 Reactions
2 Replies
776 Views
Salam mbele wataalamu wooooote pamoja na we unaesoma post hii. Swali langu ni je kuna mtu anaweza ku-hack password ya facebook ya mtu iwapo huyo mtu kanipa user name yake?
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Wakuu, Nimenunua Blackberry Storm 9530 ambayo imetolewa na Verizon, Tatizo ni kwamba inatumia line ya Vodacom pekee na nikiweka line ya Tigo au Airtel hairespond. Je tatizo ni nini hapa? Naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ebana wakuu hawa jamaa WA RIM ni noma,hebu check hii blackberry mpya,waloachia,ni balaa. Blackberry Empathy Concept Phone by Kiki Tang & Daniel Yoon » Yanko Design
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Washika dau wangu nina ka huawei modem hapa e153 nimekachakachua mpaka zile 10 trial zikaiisha manake kalikua kanasumbua,hebu niambieni nini cha kufanya zaidi ni ka mtandao wa tigo,au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana wa jamvi naomba ushauri wenu kuhusu hili. Toka nikiwa mdogo ndoto zangu ni kumiliki kampuni ya uchapishaji, hasa katika kuchapa maandishi na picha kwenye fulana. Nilianza zamani sana nikiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau na hasa wataalam wa mambo ya graphics nimewai kuleta hoja hii kwa kuwa sikufanikiwa leo narudi tena tena kwa ushauri Katika kujifunza, kufanya na kujaribu mambo kwa vitendo napenda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nashindwa kuelewa wameona nini mpaka kubadilisha hii bomba 7 ambayo naamini ilikuwa na wateja wengi tu...sasa imekuwa kero,,spidi ndogo, page hazifunguki ukiuliza eti "restart modem yako!!!""...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
jamani wakuu nimekutana na hii article about flashing a phone using only usb data cable and some few software nakaona niipost ili wale mafundi wetu uchwara wa mjini wasiendelee kutulia pesa zetu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom