elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Jaman wadau mimi natafta mtu wa kunifundisha php na java kwa malipo ya kimaskini. Naomba aliye tayari plz anijibu
Jaman wadau mimi natafta mtu wa kunifundisha php na java kwa malipo ya kimaskini. Naomba aliye tayari plz anijibu
Niko dar lakini nasoma udom so now niko likzo
Nipe kaka, but nimetry soma some details via net naona nashndwa elewa naoma mambo kama strings sijui wat n mm sijui anythng about programing language
<br />Niko dar lakini nasoma udom so now niko likzo
Nipe kaka, but nimetry soma some details via net naona nashndwa elewa naoma mambo kama strings sijui wat n mm sijui anythng about programing language
ukukiweka hapoa itakuwa vizuri zaidi,utatusaidia wendi!
haya hicho. Just unzip the file . Kitabu kipo katika pdf format
Kitabu hiki ni kizuri sana.. Nimekitumia hiki nikiwa first year.. Jamaa katumia approach nzuri sana katika ku kipresent..
<br />unashidwa kuelewa sababu moja au zote kati ya hizi<ul><li>unaruka hatua hujaanza na basic</li><li>Una haraka ya kuelewa</li><li>una mambo mengne mengi</li></ul>Kama hata mambo kama string sijui what huelewi kabla ya kuanza na php au java kwanza pata concept nzima ya programming na programming logic in general <br />
<br />
Kuna kitabu kizuri kinaitwa <b>Let us C</b> mwandishi <b>Yashwant Kanetkar</b>. ingawa ni kitabu cha prgram ya C ukikikosma utalewa na kupata concept ya program uatalewa mambo muhimu na mtumizi ya vitu kama <ul><li>data types , constants and variables</li><li>declaration</li><li>Program control structures kama<b> decision</b> (eg IF statement ), l<b>oop</b> (eg FOR satement ) and <b> CASE</b></li><li>Funtion and pointers - eg utaelewa creating and calling functions</li><li>Arrays and structures</li><li>Strings</li></ul>Ukishalewa basic ya hayo mambo utajifunza programming language yeyote kirahisi. unaweza usiwe mtaalam lakini utaelewa. Binafsi si programmer but naweza kuelewa na kuelezea nini porgrm inafanya au kelezea kila line of program.<br />
<br />
<br />
NB.<br />
<br />
Simaniishi uanze kusoma C ila ukisoma hicho kitabu kitakupa mwanga na base nzuri what is prgramming logic no mater wich language utayoamua kufuata. Tofauti ya java, php ,etc ni matumizi ya sytanx but logic ya program zote ni ile ile. Au tafuta kitabu chochte cha introduction to programming.<br />
<br />
But kama una haraka ya kujua na una bandwidth na ya kutosha fuatilia au download kutoka yutube lecturse za <b>Standfod university</b> kuhusu <b>programming mtehodolgy. </b>Jamaa anatumia java na kuna lecture zaidi ya 28. kila moja ni dk kama 50. <br />
<br />
This is best programming lecturer I refer every programming student. <br />
Onja lecturer 2<br />
1<br />
<br />
<br />
II<br />
<br />
<br />
Ukihitaji kitabu cha let us C nijulishe nitauwekea hapa lakini kina page zaidi ya 700. But mm huwa natafuta video tutorial alafu nasoma kitabu pale napokuwa sijaelewa.<br />
<br />
Good luck
Mimi sikubahatika a kufundihswa kwa kitabu hiki labda ndio maana nilishia kupass tu programming bila kuwa best lakini baadae nilkitumia hiki kitabu nikiwa nimeshamliza masomo nilianza kupenda programming. Na kimenisaidia sana. Japo si mtaalam sana but..........
Je umemuona huyo lecturer muhindi wa standforf kila mwanfuzni akiuliza swali anapewa pipi.? Kuna style za ufunidshaji hata ukiwa na mtindio wa ubongo by default unakuwa na C teh teh teh teh teh.