Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

kuna jamaa namfahamu hua akiingia katika internet cafe anaweza kudownload mpaka 20 gb na zaidi ndani ya saa moja. Tatizo hasemi hata kwa hela, anaejua pls tupeane ujuzi jamani.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
ebana mimi nimechukua computer lakini haina flash inaiwezesha kuplay vitu vilivyo kwenye internet kabla ya kudownload.je flash gani nzuri ya kuplay kwenye internet na inapatikana web gan?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomba msaada, namna ya namna kuungisha internet kwenye simu za kichina
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wdau, naomba mniwezeshe kupata software ya bure itakayoniwezesha kudownload mp3, hasa bongostar link.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana JF, nimefanikiwa kuipata hiyo software na crack folder yake, lakini nimeshindwa kuicrack. naomba msaada wenu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ambaye anauza Toshiba laptop, yenye Ram kuanzia 2GB na hard disk kuanzia 250 aniambia pamoja na bei yake
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya voda kutuzingua na unlimited yao kuona tunafaidi sana. Nataka hamia TTCL je naweza nunua line ya ttcl na kutumia kwenye modem yangu nliyo i flash?.. Je package zao zinakuaje? Na ofa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Avg key: 8meh-rxyfd-juv72-8922r-ftbz6-qembr-aced Kuna members nimeona wanaulizia Avg key.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1. what design pattern have you ever used in your projects and what was your experience? 2. What are procedure you follow from conception of project to final release? if(isset($discussion)){...
0 Reactions
1 Replies
851 Views
Wadau nimenunua hii gadget ili kushare mobile interent from 3g modem za Vodacom/Zantel ; haikubali .................................KLana iko ok kwani ndiyo nayotumia nikiweka adsl modem ya TTCL...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anayefahamu jinsi ya kuupdate bios. Nimejitahidi kila niwezavyo imeshindikana. Ninazo information zote kuhusu kuhusu BIOS yangu. BIOS Type: Insyde BIOS Version...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naitaji ku intlat nero inakataa ntafanyaje jameni.
0 Reactions
2 Replies
996 Views
Kuna project nafanya na natumia PHP. napata error hii: Fatal error: require_once()[function.require]: Failed opening required...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Niaje wakuu? natumaini hii post tayari kama ishawahi kuepo ivi ila naomba niweze kushare knowledge na wenzangu kwani nimefanikiwa hii kitu hadi raha japo bado sijaaanza transactions. Ni hivi,jinsi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Dear wakuu JF, Ninayo Simu ya SAMSUNG C3200. It has many nice features, plz search it online ! Price- $100. used for only few months. PM if interested
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wANDUGU, NIMEPATA HII MAIL, NI KWELI AU UTAPELI ???????????????rom: nokiaconnectclaim@hotmail.com To: XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX Subject: NOKIA VERIFICATION REQUIREMENT (Fill & Attach Passport...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Haya tena wale wateja wa voda kila ukiongeza sh 1000 ya pamoja unapewa sms 100, dakika 10 na 500 megabytes ambazo utatumia kuanzia saa 5 usiku hadi saa 12 alfajiri! Ni hayo tu wakuu!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Puk
Wana JF, Kuna namna yoyote ya kupata PUK baada ya sim pin kuwa blocked? Kama ipo tafadhali naomba msaada wenu. Ni sim yangu ya siku nyingi hivyo hata starter pack yenye PUK siioni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Voda wamenzisha package mpya wanaiita SPIDI 7 ambapo unalipia tsh 15000,unapata 1GB only ambazo utaweza kutumia kwa wiki moja kwa UNLIMITED speed. Kumbuka BOMBA7 au BOMBA30 (tsh 30,000 kwa mwezi)...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom