Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Niliwahi kuongelea swala la free internet. Kuna watu walinitumia PM kwamba zikiwa tayari niwastue lakini nimefanya hivo naona wanazingua tu. Kuna chip,ambayo ukiweka kwenye modem ya mtandao...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Kuna jamaa yangu mmoja anatumia modem ya tigo ambayo ina miezi kama mi3 hivi anatumia bure bila kulipia au kukatwa hata senti sasa naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia na mimi nika configure...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naombeni msaada wenu wadau, hivi unaweza kupata internet service kwenye simu ya blackberry storm 2 kupitia mitandao ya hapa nchini? Naombeni msaada wenu Plz!!!!
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Wakuu Leo nimetembelea tovuti ya Tanzania Poice Force . kwanza nilifurahia ule muonekano wake. Hatua ya pili nikasema ngoja nijaribu functionalities kahaa Nikaenda kwenye feedback. Hapo...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
"Windows cannot start this hardware device because its configuration information (in the registry) is incomplete or damaged. To fix this problem you should uninstall and then reinstall the...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Jana niliona taarifa kwenye media mbalimbali kuwa DSTV Tanzania wameanzisha huduma mpya kwa watu wenye simu za 3G wanaotumia mtandao wa Vodacom kupata service ya DSTV mobile kwenye simu zao...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wanatech na geeks naomba msaada kwa hili.Nililetewa Maxtor 8OGB hard disk niicheck kama kweli ni 80GB na kuifanyia new windows Xp installation.Aliyeniletea HDD alikuwa ameuziwa na jamaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam, Ninahitaji software za Autodesk - Autocad na Invertor any version may be 2008, 2010 or 2011, nimepata shida ya computer yangu hivyo nimepoteza softwares zangu muhimu sana. Naombeni sana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wataalam naomba msaada mara nyingi nakuwa na message nyingi sana kwenye simu yng kabla hata sijazisoma na wakwti mwingine ni muhimu kwa ajili ya reference baadae nawezaje kuzitunza kwenye chombo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kati ya simu hizi ipi inadumu na unaweza kufurahia huduma yake? Share your work. Share your fun. Start delegating. From The New York Times-recommended Personal...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu.Nimekuwa nikisikia na kusoma kuhusu simu za android au symbian.But kiukweli sizijui ni simu gani.Na tofauti zake,coz zinaniumiza xana kichwa.Mf nokia 3210 nk ni mfumo gani? Ahsanteni
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari zenu wakuu. Jama ni mda mreet najitahidi kujaribu kuedit some videos ambazo ninmerekodi either kwenye simu au digital camera ila nikijaribu kuedit through windows movie maker inasema...
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Je unazijua njia za kujikinga na radi?je unaifahamu huduma ya kwanza kwa mtu aliyepigwa na radi(katika pigo la kwanza na la pili)?je unaimani yoyote inayokutatiza kuhusu radi na ungependa kujua...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Cousins, Nisaidie app hiyo niweze kuenjoy gmail kwenye hii simu bana; kwa sasa natumia lakini nazunguka kweli.............nimejaribu kuchecki na site yao sikupata msaada ; Any clue and how to...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumekuwa na imani iliyojengeka na kuenea katika jamii kuwa, RADI ina uhusiano mkubwa na madini kwa maana ya kwamba, madini huvuta radi na kusababisha maeneo yenye madini kuwa na radi za mara kwa...
0 Reactions
24 Replies
10K Views
wapendwa!! Embu tuwe serious kidogo hapa... hatuwezi kupata namna ya kupata free internet...i have been reading, n still reading on how to get a free access to internet...Nigeria, South Africa...
0 Reactions
52 Replies
11K Views
wadau naombeni kujua sehemu na bei ya kupata laptop adaptor ya lg or kma kuna used poa or anaejua kuzirekebisha zilizoharibika
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Je ni kweli Lady Gaga amekutwa akiwa amefariki ndani ya hotel? Hiki ni kirusi (VIRUS) ambacho kimesambaa sana katika mtandao wa facebook na bado kinazidi kuenea kwa kasi.Kirusi hiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni flash disk (G:) ya 4 GB. Files na folder chache zilizomo (saved documents) zinafunguka, nyingine nyingi hazifunguki. However, huwezi ku delete chochote, huwezi kuiformat, haipokei faili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Halo guys, am looking for local developed software for phamarcy management. thanks
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Back
Top Bottom