Msaada:Setup was unable to format the HDD..

Lonestriker

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
640
241
Wanatech na geeks naomba msaada kwa hili.Nililetewa Maxtor 8OGB hard disk niicheck kama kweli ni 80GB na kuifanyia new windows Xp installation.Aliyeniletea HDD alikuwa ameuziwa na jamaa aliyemwambia kuwa ni 80GB hard disk which is true baada ya mimi ku-confirm kwa both Windows and Ubuntu.Shida ni kuwa only 4OGB ndiyo ilikubali partition na kuwekewa Windows kwa hiyo jamaa akahisi amebadilishwa Hard disk ndio akaamua kuniletea niicheck,nilii-mount na ikasoma 80GB lakini ikagoma kubeba windows baada ya kuiwekea new partitions za 35GB by 40GB.Ajabu set up ilifail then ikaniletea meseji hii'Setup was unable to format the HDD...check the SCSI device settings...' .By the way hard disk ni IDE.Nimejaribu hata kuinstall ubuntu bila success..Ushauri wenu wanajamvi ndio my refuge kwa sasa.
 
hiyo hard disk inawezekana ikawa right protected, so, tafuta namna ya kubadili , au kuunlock settings
 
Wanatech na geeks naomba msaada kwa hili.Nililetewa Maxtor 8OGB hard disk niicheck kama kweli ni 80GB na kuifanyia new windows Xp installation.Aliyeniletea HDD alikuwa ameuziwa na jamaa aliyemwambia kuwa ni 80GB hard disk which is true baada ya mimi ku-confirm kwa both Windows and Ubuntu.Shida ni kuwa only 4OGB ndiyo ilikubali partition na kuwekewa Windows kwa hiyo jamaa akahisi amebadilishwa Hard disk ndio akaamua kuniletea niicheck,nilii-mount na ikasoma 80GB lakini ikagoma kubeba windows baada ya kuiwekea new partitions za 35GB by 40GB.Ajabu set up ilifail then ikaniletea meseji hii'Setup was unable to format the HDD...check the SCSI device settings...' .By the way hard disk ni IDE.Nimejaribu hata kuinstall ubuntu bila success..Ushauri wenu wanajamvi ndio my refuge kwa sasa.


Mkuu kama unasema drive Controller niya IDE, inawezaje kuzungumzia mambo ya SCSI device settings TENA, mimi nafikili cha kufanya ni kuangalia firmware za BIOS yako zimeandikwa/programmed na kampuni gani, jaribu ku-update firmware za BIOS, alafu uone kama tataizo hilo litajitokeza tena-goodluck.
 
...mimi nafikili cha kufanya ni kuangalia firmware za BIOS yako zimeandikwa/programmed na kampuni gani, jaribu ku-update firmware za BIOS, alafu uone ...
Kuwa mwangalifu sana wakati unafanya BIOS update, fata instructions and precaution zote. Na hiyo iwe last resort, nadhani focus yako kwa sasa iwe kwenye HDD yenye matatizo, huo ndio ugongwa, ugonjwa sio BIOS kwa sababu hujasema hiyo PC haifanyi kazi na HDD nyingine yeyote.

Umesema hiyo HDD uliweza kui partition. Ulitumia nini kui partition? Hebu futa kabisa hayo ma partion ( DBAN software ) halafu iache Windows installer yenyewe ifanye hizo formatting and partitioning. Jaribu pia XP CD nyingine, huwezi jua.
 
Kuwa mwangalifu sana wakati unafanya BIOS update, fata instructions and precaution zote. Na hiyo iwe last resort, nadhani focus yako kwa sasa iwe kwenye HDD yenye matatizo, huo ndio ugongwa, ugonjwa sio BIOS kwa sababu hujasema hiyo PC haifanyi kazi na HDD nyingine yeyote.

Umesema hiyo HDD uliweza kui partition. Ulitumia nini kui partition? Hebu futa kabisa hayo ma partion ( DBAN software ) halafu iache Windows installer yenyewe ifanye hizo formatting and partitioning. Jaribu pia XP CD nyingine, huwezi jua.

Acha uongo wako wewe.
 
Kuwa mwangalifu sana wakati unafanya BIOS update, fata instructions and precaution zote. Na hiyo iwe last resort, nadhani focus yako kwa sasa iwe kwenye HDD yenye matatizo, huo ndio ugongwa, ugonjwa sio BIOS kwa sababu hujasema hiyo PC haifanyi kazi na HDD nyingine yeyote.

Umesema hiyo HDD uliweza kui partition. Ulitumia nini kui partition? Hebu futa kabisa hayo ma partion ( DBAN software ) halafu iache Windows installer yenyewe ifanye hizo formatting and partitioning. Jaribu pia XP CD nyingine, huwezi jua.

Mkuu sijuhi unataka kutueleza nini! Why unasema iwe last resort - unaweza kutueleza hapa kwa nini BIOS yake inazungumzia controllers mbili yaani IDE na SCSI at the same time, is this normal? Je unajuwa hiyo BIOS kwenye motherboard yake iliandikwa/programmed mwaka gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom