Lonestriker
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 640
- 241
Wanatech na geeks naomba msaada kwa hili.Nililetewa Maxtor 8OGB hard disk niicheck kama kweli ni 80GB na kuifanyia new windows Xp installation.Aliyeniletea HDD alikuwa ameuziwa na jamaa aliyemwambia kuwa ni 80GB hard disk which is true baada ya mimi ku-confirm kwa both Windows and Ubuntu.Shida ni kuwa only 4OGB ndiyo ilikubali partition na kuwekewa Windows kwa hiyo jamaa akahisi amebadilishwa Hard disk ndio akaamua kuniletea niicheck,nilii-mount na ikasoma 80GB lakini ikagoma kubeba windows baada ya kuiwekea new partitions za 35GB by 40GB.Ajabu set up ilifail then ikaniletea meseji hii'Setup was unable to format the HDD...check the SCSI device settings...' .By the way hard disk ni IDE.Nimejaribu hata kuinstall ubuntu bila success..Ushauri wenu wanajamvi ndio my refuge kwa sasa.