Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu
Leo nimetembelea tovuti ya Tanzania Poice Force .
kwanza nilifurahia ule muonekano wake. Hatua ya pili nikasema ngoja nijaribu functionalities kahaa Nikaenda kwenye feedback. Hapo kwenye feedback nikataka kuandika ujumbe .Nikashindwa kutuma sababu lazima uweke attachemnt. Sijui ni attachment gani. na vile naambiwa "Please specify your position in the company". Nikachoka Kabisa. Sasa sijui dhumuni la dhumuni la hii tovuti ni nini . Ni kutoa tu habari au ni kutoa na upokea.......??????
Kama kuna watu wako karibu na wahusika wa ICT wa polisi basi nawashauri wajaribu kutazama Tovti hii i ya Polisi ya UK na wajaribu kuchukua yale mazuri wayapachike kwenye tovuti yao. Tovuti ya Polisi isiwe ya kutoa tu habari bali iwe ya kupokea habari kirahisi na ziwe habari za wanachi wanazotaka kusoma au kuona.
Mambo kama ya URASACCOS sio muhimu kwa watembelaji wa tovuti kama ilivyo matukio ya uhalifu yaliyoripotiwa au yanayofanyiwa kazi.........
Na scanning niliyofanya kwa nyenzo za ku- Audt mtandao kwenye webserver zinaonyesha wametumia CMS ya joomla na template ya comaxium wich is good , lakini tatizo sanning inaonyesha kuna risky loophole kadhaa inabidi waifanyie kazi moja wapo ni
Otherwise taratibu tutafika...............
Nawasilisha
Leo nimetembelea tovuti ya Tanzania Poice Force .
kwanza nilifurahia ule muonekano wake. Hatua ya pili nikasema ngoja nijaribu functionalities kahaa Nikaenda kwenye feedback. Hapo kwenye feedback nikataka kuandika ujumbe .Nikashindwa kutuma sababu lazima uweke attachemnt. Sijui ni attachment gani. na vile naambiwa "Please specify your position in the company". Nikachoka Kabisa. Sasa sijui dhumuni la dhumuni la hii tovuti ni nini . Ni kutoa tu habari au ni kutoa na upokea.......??????
Kama kuna watu wako karibu na wahusika wa ICT wa polisi basi nawashauri wajaribu kutazama Tovti hii i ya Polisi ya UK na wajaribu kuchukua yale mazuri wayapachike kwenye tovuti yao. Tovuti ya Polisi isiwe ya kutoa tu habari bali iwe ya kupokea habari kirahisi na ziwe habari za wanachi wanazotaka kusoma au kuona.
Mambo kama ya URASACCOS sio muhimu kwa watembelaji wa tovuti kama ilivyo matukio ya uhalifu yaliyoripotiwa au yanayofanyiwa kazi.........
Na scanning niliyofanya kwa nyenzo za ku- Audt mtandao kwenye webserver zinaonyesha wametumia CMS ya joomla na template ya comaxium wich is good , lakini tatizo sanning inaonyesha kuna risky loophole kadhaa inabidi waifanyie kazi moja wapo ni
........
The POP3 server is using a weak password. Acunetix WVS was able to guess the credentials required to access this resource.
A weak password is short, common, a system default, or something that could be rapidly guessed by executing a brute force attack using a subset of all possible passwords, such as words in the dictionary, proper names, words based on the user name or common variations on these themes
Otherwise taratibu tutafika...............
Nawasilisha