Tovuti ya polisi tanzania

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wakuu
Leo nimetembelea tovuti ya Tanzania Poice Force .

kwanza nilifurahia ule muonekano wake. Hatua ya pili nikasema ngoja nijaribu functionalities kahaa Nikaenda kwenye feedback. Hapo kwenye feedback nikataka kuandika ujumbe .Nikashindwa kutuma sababu lazima uweke attachemnt. Sijui ni attachment gani. na vile naambiwa "Please specify your position in the company". Nikachoka Kabisa. Sasa sijui dhumuni la dhumuni la hii tovuti ni nini . Ni kutoa tu habari au ni kutoa na upokea.......??????

Kama kuna watu wako karibu na wahusika wa ICT wa polisi basi nawashauri wajaribu kutazama Tovti hii i ya Polisi ya UK na wajaribu kuchukua yale mazuri wayapachike kwenye tovuti yao. Tovuti ya Polisi isiwe ya kutoa tu habari bali iwe ya kupokea habari kirahisi na ziwe habari za wanachi wanazotaka kusoma au kuona.

Mambo kama ya URASACCOS sio muhimu kwa watembelaji wa tovuti kama ilivyo matukio ya uhalifu yaliyoripotiwa au yanayofanyiwa kazi.........

Na scanning niliyofanya kwa nyenzo za ku- Audt mtandao kwenye webserver zinaonyesha wametumia CMS ya joomla na template ya comaxium wich is good , lakini tatizo sanning inaonyesha kuna risky loophole kadhaa inabidi waifanyie kazi moja wapo ni
........
The POP3 server is using a weak password. Acunetix WVS was able to guess the credentials required to access this resource.
A weak password is short, common, a system default, or something that could be rapidly guessed by executing a brute force attack using a subset of all possible passwords, such as words in the dictionary, proper names, words based on the user name or common variations on these themes

Otherwise taratibu tutafika...............
Nawasilisha
 
Nenda ukawashauri wajaribu kuwa Updates

Mkuu kwenda kuwashauri ndio hivi nimeshafanya electronically . Faida ya internet moja ni kuwa imefanya Dunia kuwa kama kijiji. Au kama niko kigoma mwisho wa reli unatak nifunge safari mpaka kwenye ofisi ya Mwema na vijana wake.
 
Mkuu kwenda kuwashauri ndio hivi nimeshafanya electronically . Faida ya internet moja ni kuwa imefanya Dunia kuwa kama kijiji. Au kama niko kigoma mwisho wa reli unatak nifunge safari mpaka kwenye ofisi ya Mwema na vijana wake.
Mtazamaji unasema kweli. Kama wana nafasi ya kuja kufuatilia watu wanaisema nini serikali yao sasa kwa nini wasisome haya na kufanyia kazi?
Kama, hawana nafasi ya kutembelea maeneo ya huku hiyo ni shauri yao. Ushamba ni mzigo.
 
No suprise nimeicheki yaani inaelekea wataalamu wao ni mambo ya undugu tu sio competent kabisa shame on them.
 
Mkuu mtazamaji,

Ni wazo zuri sana hilo lakini Metropolitan Police ni taasisi kubwa sana na ndio maana unaona kuna mambo mengi mno.

Kuna thread moja nilizungumzia kuhusu uundwaji upya kwa jeshi letu la polisi na nilitoa baadhi ya mapendekezo nafikiri ni mbali mno (si unafahamu tena sisi watu wa siku nyingi hapa JF?)

Met police ni kama wizara nzima na wana kamishna na ambae ndio kama IGP wetu, halafu ana assistant wake na pia anatawala jeshi la police la London au City of London Police, kwahio tovuti yake inabeba mambo mengi sana.

Baada ya hapo kuna vikosi vya polisi nchi nzima vikiongozwa na chief constables ambao ni kama RPC wetu. Ukitoka hapo unakuja kwenye taasisi zingine kama vile chama cha maofisa wa polisi ambao wana asili ya Afrika na Asia.

Halafu kuna idara shiriki au partners kama vile fire brigade, ambulance service na national health service. Baada ya hapo unakuta kuna taasisi za kimataifa ambazo zinashirikiana na met police kama vile CIA, Interpol, FBI na internationall police association.

Sasa mwenye jukumu la kuandaa website ya jeshi la polisi la anatakiwa awe amepewa blue print yenye maana yaani iliyojaa mambo mengi ambayo yamesheheni elimu msaada kwa wasomaji na mambo mengi tu, ili siku ikiwa tested online watu tuseme alaa kumbe!

Lakini mtu hawezi kukurupuka na kuja na tovuti kama hii ambayo ni ya mtoto wa sekondary anaejifunza kutengeneza tovuti. Tumefika miaka 50 ya uhuru halafu ndio mtu anakuja na hii tovuti yaani ni mambo ya ajabu kabisa.
 
Mkuu mtazamaji,

Ni wazo zuri sana hilo lakini Metropolitan Police ni taasisi kubwa sana na ndio maana unaona kuna mambo mengi mno.

Kuna thread moja nilizungumzia kuhusu uundwaji upya kwa jeshi letu la polisi na nilitoa baadhi ya mapendekezo nafikiri ni mbali mno (si unafahamu tena sisi watu wa siku nyingi hapa JF?)

Met police ni kama wizara nzima na wana kamishna na ambae ndio kama IGP wetu, halafu ana assistant wake na pia anatawala jeshi la police la London au City of London Police, kwahio tovuti yake inabeba mambo mengi sana.

Baada ya hapo kuna vikosi vya polisi nchi nzima vikiongozwa na chief constables ambao ni kama RPC wetu. Ukitoka hapo unakuja kwenye taasisi zingine kama vile chama cha maofisa wa polisi ambao wana asili ya Afrika na Asia.

Halafu kuna idara shiriki au partners kama vile fire brigade, ambulance service na fire brigade. Baada ya hapo unakuta kuna taasisi za kimataifa ambazo zinashirikiana na met police kama vile CIA, Interpol, FBI na internationall police association.

Sasa mwenye jukumu la kuandaa website ya jeshi la polisi la anatakiwa awe amepewa blue print yenye maana yaani iliyojaa mambo mengi ambayo yamesheheni elimu msaada kwa wasomaji na mambo mengi tu, ili siku ikiwa tested online watu tuseme alaa kumbe!

Lakini mtu hawezi kukurupuka na kuja na tovuti kama hii ambayo ni ya mtoto wa sekondary anaejifunza kutengeneza tovuti. Tumefika miaka 50 ya uhuru halafu ndio mtu anakuja na hii tovuti yaani ni mambo ya ajabu kabisa.
Rchard Naukbalina na wewe lakini naomba nifafanue kwa nini nimetolea mfano wa Tovuti ya Polis ya UK. Sijafanaisha structure na muundo ya polisi wa Tanzania na UK bali nimefanisha mhitaji na presentatin tovuti. Hata kama strucrure , ukubwa na department ni tofauti bado infomration zinazotakiwa kutolewa au kupokelewa ni zile zile

Mfano utaona MET ya UK wanapokea na kutoa habari kwa njia mbali za ICT
  • twiitter ya Polisi ya uk . Saijawai kusikia official page ya polisi ya fb na twtter. Na hii ilitaiwa kila mkoa ziwepo.
  • Yutube channel ya MEt UK Kwa hii siwezi kuwalaumu sana sababu hata chombo cha habri kama Tbc hawana channell
  • Feedback hii nimetlea mfano nimejaribu kutoma maoni nimeshindwa. tovuti ya Polisi inataiwa iwe inatoa naupoea habari. Matoeo yake wanatuwekea mambo ya Saccos. Sasa saccos ya Polisi ina maslahi kwa mtu anayetembea tovuti.
Watu wanataka kujua kufahamishwa
  • watu gani ni wanted
  • wahalifu gani wamekamatwa
  • vitu gani vinafanyiwa kazi
  • matukio gani ya kihalifu yanashamiri na yanatkoea wapi na wanashauri nini

Ni mambo kama hyo ndiyo mtazamao wangu waangalie Presentation ya tovuti ya Polisi ya UK wachukue mazuri. katika karne hii hatuhiaji idaraya habri maelezo ya Posta . twiiter/ facebbook ndio idara ya habari maelezo za kisasa ambayo iitumiwa vizuri itatoa taarif kwa wakati sahihi. Polisi jamii ya kweli na ya kisasa inatakiwa kuwa na official account facebook na twiter
 
Mkuu Mtazamaji,

Tupo pamoja kabisa na hizi "social network" ndizo mtu unapata habari nyeti.

Nikuchekeshe kidogo siku hizi watu wote wa intelligence Ulaya na Marekani wanapita humo kuchagua "recruits"
 
Mkuu Mtazamaji,

Tupo pamoja kabisa na hizi "social network" ndizo mtu unapata habari nyeti.

Nikuchekeshe kidogo siku hizi watu wote wa intelligence Ulaya na Marekani wanapita humo kuchagua "recruits"

Hahahaha na wa hapa kwetu bongo wanapita wapi tuwaombe kazi au bado sheria zao ni mpaka uende CCP moshi ndio uwe web admin au ICT officer wao?
 
Mkuu mbona umeenda mbali sana, umesahau kuwa hata emergence call number yao kuna wakati haifanyi kazi, ndio itakuwa tovuti?
Kimsingi kuna udhaifu mkubwa katika kitengo hiki, hawaamini kama raia mwema anaweza kusaidia kutoa/kupata taarifa za kiusalama ktk tovuti yao, wao wanaamini kila kitu kitapatikana kwa kutegemea intelijensia yao na press confrence za Kova.
 
Back
Top Bottom