Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Owwwkey so I feel like bragging a bit 'cause I got me a real cool gadget today. Recently niliharibikiwa na simu pamoja na laptop yangu nikabaki kapa.Katika harakati za kutafuta simu na laptop...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa juu ya hii programme lakini nataka inayo-operate katika Window not mac Naomba pia ufafanuzi. Ukitazama studio nyingi za TV wakati wa news hasa Channel ten,Star tv na TBC wasomaji...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanajukwaa, salaam!!! Ni mwezi mmoja sasa tangu ninunue simu aina ya NOKIA E5-00 (brand new). Kwa bahati mbaya, kitabu cha maelekezo nilikipoteza. Tangu kununua simu hii nimekuwa nikijaribu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
naomba msaada mana sm yangu kwa sasa inagoma kufungua opera min ya 5.1.nimejalibu kudonwload nyingine ya 6.5 imekubali tatizo inagoma kudonwload.naomba msada
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau hebu chungulieni hii website, mbona mie naona kama inauza iphones na ipads2 kwa bei rahisi sana! Ni wizi au bei zimeshuka? Discounts on Mobile - Buy it Now - Wall | Facebook
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni wapi ntapata dc 6v-24v car electrical tester.nipo Arusha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani,nani anajua wapi ninaweza kupata Macintosh computer used hapa dar.Na kwa bei gani.Nitashuluru.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa kutambua kuwa JF ni google ya kila kitu kutokana na kukusanya Great Thinkers wa kila namna naomba msaada wa mwenye soft copy ya biblia ya kiebrania. Au japo link ya website yenye biblia ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba msaada ntawezaje kutumia bloototh ktk laptop aina ya dell D630
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana JF kuna hz modem ambazo zinaingia line yoyote,speed yake ikoje katka kufungua page na kudownload video,na hawa ISP modem gan inaspeed mzuka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani wanajamii naomba kujuzwa kuhusiana na betri kwenye Desk top computers,kwa sababu computer yangu aina ya DELL ninapotaka kuiwasha siku hizi, kwanza inanialert kwamba " computer batri is...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mobile and compact, the laptop has many advantages if you want to use a computer whenever and wherever it suits you. It also has disadvantages if you do not take care of it properly. Protecting a...
0 Reactions
2 Replies
979 Views
Wadau naomba kujuzwa vp kuna laptop hapa amekuja nayo ndugu yangu betri haifanyi kazi mpaka kutumia power cable(charger) hivi kuna uwezekano wakuirekebisha hii betri ikafanya kazi? Na je kwamfano...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara nyingi nimekuwa nikijiuliza juu ya jambo hili kwamba endapo itatokea siku imeibuka kampuni nyingine inataka kusambaza umeme itakuaje juu ya haya yafuatayo: Unafkiri ni njia gani itatumika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani kwenu wadau! naomba msaada wa link au website ntakayoweza kudownload VB Net! thanks
0 Reactions
2 Replies
1K Views
External Hard Disk yangu ilidondoka kutoka usawa wa kitanda mpaka sakafuni, na sasa haifunguki na wala haisomi kwenye computer yoyote ile. Rafiki yangu kanipa mwanga tu kuwa huenda motor yake...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
what is life? How is it formed? How can it be produced from non living materials?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hellow Jf!! Kuna njia nying za ku HACK facebook accounts zipo hapa How to hack facebook password | Learn How To Hack - Ethical Hacking and security tips Nimefanya nimefanikiwa, Victim wa kwanza...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
Wazee jana nilikua naangalia movie ya jean c. Vandamme akiwa kaka yake alex.kuna scene moja vandamme yupo ndani ya meli anachochea mkaa wa moto katika injini ya meli.mie pia nikakumbuka kwamba...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau naomba msaada wa khs camera ya laptop aina ya Dell 630 naona data zake tu ila sehemu ya kufungua niitumie hii camera siipati!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom