Namna ya kufungua computer bila kufahamu user password

Namna ya kufungua computer bila kufahamu user password

Adm

Senior Member
Joined
Sep 19, 2010
Posts
149
Reaction score
45
hebu wataalam wa haya mambo ya computer mnipe maujanja ya namna ya kufungua/kutumia computer bila kuifahamu user password
 
computer ya wizi..... bora mwenyewe alivyoilock...
 
run live cd yenye os kama ubuntu au mint bila kuinstall then unaweza kuaccess partition yenye mafaili yaliyo kwenye windows. Copy kwenye flash, kisha toa live cd yako
 
Acha kupanga wizi wa taalifa za watu, unataka ku-bypass login ili iwe nini??
Oooh! tumia live cd, kwanza anaijua huyo hiyo live cd?
Try 2 b ethical!
 
Mkuu nadhani kama jibu lako sio sahihi kama mdau anashidaya kweli. Alihitaji kufahamishwa na kama huna ufahamu huo, ungepita tu!

Wewe unadhani, mimi nina uhakika. Haihitaji password kufungua kompyuta mkuu. Na kama huamini, ilete kwangu. Njoo na toolbox nikuoneshe kazi.

Mnataka kumuibia nani? Haya napita
 
.
Mimi najua jinsi ya ku-BYPASS Admin Password au Ku-RESET password! ... ni rahisi sana kama 3 seconds tu .. na wala huhitaji fresh instal wala LIVECD wala SLAX wala LIVEBOOT.

Wasiwasi wangu ... ni kuwa niki-share hii tip na watu hapa jamvini ... watu wa kawaida hawatakuwa tena salama katika matumizi ya computer zao tena ... maana watu wasio waaminifu watakuwa wanazifungua comp ambazo si zao.

Ingawa nina knowldege hiyo but siwezi kushare alafu watu wakai-abuse! - so unless niwe na uhakika ni comp ya muhusika mwenyewe ntampa - tip
.
 
Sharing is Caring. Lakini swaali linaweka ethics at stake. Ila zaidi jua kuwa inawezekana by msaada ya certain software. Na pia inategemea na security settings za hiyo computer husika.
 
Back
Top Bottom